[emoji1]Chanika 1.5ml
Chamazi 1.5ml
Mbagala 5.0ml
Goba 30ml
Boko 50->ml.
Sqm ~600.
Rudi kijijini kwenu <katatue shida za maji mna'share maji ya kunywa pamoja na wanyama??Jitoe ufaham Tu [emoji1]
Mbagala ni uswazi na hakuna ustaarabu kuanzia majumbani Hadi kwenye daladala.
Nenda Mbezi ya Kimara pale stand halafu nenda stand ya Mbagala usipoona utofauti WA ustaarabu basi utakuwa na akili haziko timamu!
Mbagala ni pa hovyo Acha nyie wazawa na wazaramo mkae huko Ila sisi wahamiaji Bora tukakae Morogoro kuliko Mbagala
Mbezi kwa Yusuph, sasahivi pamebaki jina tu, hakuna mji.Sisi tuliokulia Mbezi kwa Yusuph hapo vipi?
Kabisaa yaniHumu jukwaani watu wengi wana matatizo ya akili + njaa na ny.ege usiwachukulie siriaz utateseka buree
Ila unaongelea usichokijua, pale mbezi kilíchoibadilisha ni ile stend tu, ila kabla palikua pamabya kuliko. pale jirani na stand kuna msikiti, ule mtaa unaitwa kitopeni, huko kitopeni pasikie tu wakitu wa mvua, hapaendeki kwa mguu, pikipiki, bajaji wala gari.Jitoe ufaham Tu [emoji1]
Mbagala ni uswazi na hakuna ustaarabu kuanzia majumbani Hadi kwenye daladala.
Nenda Mbezi ya Kimara pale stand halafu nenda stand ya Mbagala usipoona utofauti WA ustaarabu basi utakuwa na akili haziko timamu!
Mbagala ni pa hovyo Acha nyie wazawa na wazaramo mkae huko Ila sisi wahamiaji Bora tukakae Morogoro kuliko Mbagala
Duh Motivational speaker mmeshaanza Sasa.Kuna mwamba anaishi buza ana landcruiser,BMW,landrover discover,pembeni terous,Noah,hilux,gorofa magari ya biashara ndo usiseme.
Mtu ana ghorofa inaukuta mrefu,wanangu nilosoma nao baadhi wapo kijitonyama wanna chumba kimoja kila mmoja 🙂🙂🙂
Unaona anajiita Marytiner, kaka huyo ni mtoto wa kike, hakuna mwanamme wa Kujiita Marytiner.Hilo jina lako na muandiko wako nashindwa kutofautisha kama ni wa kike au wa kiume.
Mkuu sikuchagia kwa nia ya kudharau maeneo ya Mbagala, bali kuonyesha uhalisia wa kwa nini ardhi ya Mbagali bei iko chini.View attachment 2377180
-Hapa Jidu La Mabambasi amedanganya watu wa kipato cha chini tunajua vipi ? umefikia Kitunda ,Mburahati Tandale nk mbona maeneo ya mbagala wapo watu wengi wa kipato kikubwa .
-Kwenye machinga hapo karibia kila sehemu na ukizungumzia Dar biashara za machinga zimetawala sehemu nyingi hata mjini kabisa na sio mbagala pekee , na biashara kubwa nazo zinafanyika kea kiasi kikubwa hata mabenk eneo la mbagala,Majimatimu ,Charamba ,Mbande yapo kibao na hizo MiniSupermarkets na restaurants ndizo usiseme.
Duh Motivational speaker mmeshaanza Sasa.
Duh Motivational speaker mmeshaanza Sasa.
Kati ya makazi wa kimara anayekaa getoo anagombana na wapangaji wa kike kinunua umeme na mkazi was mbagala anayetembelea harrier ana nyumba yenye ukuta mrefu nanii mstaarabu?Jitoe ufaham Tu [emoji1]
Mbagala ni uswazi na hakuna ustaarabu kuanzia majumbani Hadi kwenye daladala.
Nenda Mbezi ya Kimara pale stand halafu nenda stand ya Mbagala usipoona utofauti WA ustaarabu basi utakuwa na akili haziko timamu!
Mbagala ni pa hovyo Acha nyie wazawa na wazaramo mkae huko Ila sisi wahamiaji Bora tukakae Morogoro kuliko Mbagala
Vipi kuhusu wanaojenga magorofa maeneo ya Temeke na kuishi huko nao hawana helaa?Kama unataka kulia hivi.
Hata sisi tumezaliwa dar hadi ushuani na uswazi tumeishi wengine hadi mule ndani ya fensi ya lile jumba jeupe tumepiga usingizi.
Mbagala uswazi watu makini wenye mitikasi inaoeleweka hawezi nenda nunua kiwanja mbagala na barabara ya kule mbele kote kule
Utawakuta bagamoyo road au morogoro road.
Kama anao mkwanja mrefu atakuwa kitaa ya obey, masaki, mikocheni, downtown nk
Mbagala kule ushenzini[emoji1]
Rudi kijijini kwenu Unakuja hapa unajifanya unaijua dar!!!