The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Watu wengi wapi? Mliambiwa mjitokeze kuhesabiwa mkazingua,sasa mtapata huduma kulingana na Takwimu rasmi.Takwim zimepikwa hizo Tanzania in watu wengi kuliko hiyo idadi iliyotajwa...
Hata usingeishia hapo bado huna chochote cha maana ungesema.Niishie kusema tu asante wewe uliye genius!
Takwimu za Majiji na Miji hizi hapa,Hzo ni za mikoa , tupieni takwimu za majiji na miji basi , au NBS hawajaweka
Ni dhahiri sasa kuwa kanda inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu ni Kanda ya Pwani (Dar, Tanga, Moro).Taarifa zilizotolewa jana na Tume ya Takwimu Tanzania imeonyesha mikoa yenye watu wengi Tanzania, kuanzia mkoa namba moja hadi namba ya mwisho kwa idadi.
Katika orodha hiyo, majiji yetu ya Mbeya na Arusha hayako hata kwenye top 10. Mkoa wa mwisho wa idadi kubwa ya watu ni kina Mura, Mara
Swali la kujiuliza, hawa watu walipataje hadhi ya kuitwa majiji? View attachment 2403564
Sensa ya mwaka 2012,Ofisi kuu za Serikali zilikuwa Dar karibia zote hivyo wafanyakazi wote na familia zao walikua Dar.Hii ya Daslamu kuongezeka watu milioni 1 kwa miaka 10 naikataa.
View attachment 2403568
😂😂😂Hao jamaa wanafika mil 20 kila kona wapo nimeanza kuwajua kitambo sana hata mwanza nilikuwa sijawai kufika kila sehemu wapo.Arusha na Mbeya hakuna idadi kubwa ya watu data ni za kweli hazijapikwa, msiwe wabishi
Mikoa iliyopo top 10 ukiangalia kwa makini imejazwa na wasukuma
Tabora
Mwanza
Geita
Mara
Tanga
Dodoma
Kigoma
Kagera
Morogoro
Mikoa hio yooote imetapakaa wasukuma na wasukuma idadi yao si chini ya 15,000,000 kati ya watu wote waliopo tanzania
Hii ni sawaTakwimu za Majiji na Miji hizi hapa,
1.Dar 5.3Mil.
2.Mwanza 900k-1M,
3.Dodoma 600-700k,
4.Arusha 570k,
5.Mbeya 550k,
6.Morogoro 500k,
7.Tanga 450k,
8.Kahama 400k,
9.Tabora 370k,
10.Moshi 350k.
Wasukuma kila sehemu wapo wametapakaa😂😂😂Hao jamaa wanafika mil 20 kila kona wapo nimeanza kuwajua kitambo sana hata mwanza nilikuwa sijawai kufika kila sehemu wapo.
Farasi, umetoa wapi hizi...?!Takwimu za Majiji na Miji hizi hapa,
1.Dar 5.3Mil.
2.Mwanza 900k-1M,
3.Dodoma 600-700k,
4.Arusha 570k,
5.Mbeya 550k,
6.Morogoro 500k,
7.Tanga 450k,
8.Kahama 400k,
9.Tabora 370k,
10.Moshi 350k.
Ni mwendo wa kutotoa , kanda ya ziwa binti ukifikisha miaka 25 huna mtoto , utabezwa na kuchekwa Sana😂😂😂Hao jamaa wanafika mil 20 kila kona wapo nimeanza kuwajua kitambo sana hata mwanza nilikuwa sijawai kufika kila sehemu wapo.
Sema Kanda ya Mashariki. Kanda ya pwani ni Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara. Au sio boss.Ni dhahiri sasa kuwa kanda inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu ni Kanda ya Pwani (Dar, Tanga, Moro).
Na bet
Sema Kanda ya Mashariki. Kanda ya pwani ni Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara. Au sio boss.
Lete ulizopata kt sensa yakoHii ya Daslamu kuongezeka watu milioni 1 kwa miaka 10 naikataa.
View attachment 2403568