Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Hujuagi huyo mdogo wako Lamomy ni mwehu?yeye anaropokaga tu sifui hafikirii shemeji akiona sie wenzie tunaweka wapi sura zetu🫣🫣anatufanya dada zake tuonekane hamnazoπŸ˜‚
 
Nimeshamtuma Loimata anakutafuta,bado upo humo Zari au umehamia Zuchu?πŸ˜‚πŸ˜‚. ..ingia PM chap kwa!
 
Wacha weee naona mambo bull bull!!watenda kazi katika shamba la bwana na wachunga kondooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Lamomy kumekucha huku safari ya VIKINDU ECOFOREST utaachwa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Huyo alikua na jambo lake anataka muongozo.
Siwezi kumuacha dogo Lamomy nani atatuchangamsha πŸ˜€πŸ˜€
 
Hujuagi huyo mdogo wako Lamomy ni mwehu?yeye anaropokaga tu sifui hafikirii shemeji akiona sie wenzie tunaweka wapi sura zetu🫣🫣anatufanya dada zake tuonekane hamnazoπŸ˜‚
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Aisee katoto kalijua kunirusha roho haka hadi nikasema Mungu kwanini hii roho inyemelee familia yetu kwani na sisi tumekula fungu la kumi kama mama yake Martha!!?πŸ˜€
 
Ila huyo unayemtuma una uhakika sio mtesi mkuu wa hapa kweli mana yeye na PSL god nahisi wana kitu na hiyo LodgeπŸ˜€πŸ˜€ (joking)

Anywayz mwambie niko kwenye room ya mlinzi hapa πŸ˜€
🀣🀣🀣nimecheka hapo kwenye room ya mlinzi!yaani nimepata picha ulivyokamatwa kwa kosa la kushindwa kulipia....wewe una mbinu za kupambana na watesi pambana
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Huyo alikua na jambo lake anataka muongozo.
Siwezi kumuacha dogo Lamomy nani atatuchangamsha πŸ˜€πŸ˜€
πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌDear
 
🀣🀣🀣nimecheka hapo kwenye room ya mlinzi!yaani nimepata picha ulivyokamatwa kwa kosa la kushindwa kulipia....wewe una mbinu za kupambana na watesi pambana
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… tukamlipie kwa sharti aturuhusu turushe uzi wenye tittle PRIDAH ATELEKEZWA NA DANGA GUESTπŸ˜…πŸ˜…πŸƒπŸΏβ€β™€οΈπŸƒπŸΏβ€β™€οΈ
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… tukamlipie kwa sharti aturuhusu turushe uzi wenye tittle PRIDAH ATELEKEZWA NA DANGA GUESTπŸ˜…πŸ˜…πŸƒπŸΏβ€β™€οΈπŸƒπŸΏβ€β™€οΈ
🀣🀣weee labda familia yake hatupo ni simu moja tu boss mtoto Lamomy ataomba lipa number case closed...ndugu yetu Pridah ni mtumishi hatuwezi ruhusu fedheha , sisi familia yetu haina visa vya kina Mwaipaja sisi tunabebeana misalaba
 
I
🀣🀣🀣nimecheka hapo kwenye room ya mlinzi!yaani nimepata picha ulivyokamatwa kwa kosa la kushindwa kulipia....wewe una mbinu za kupambana na watesi pambana
Pata picha wkt wa kuja kama uliingia na nyodoπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…