Majina yangu matatu kamili yametoka katika walioitwa kazini na sikuomba, hii imekaaje?

Majina yangu matatu kamili yametoka katika walioitwa kazini na sikuomba, hii imekaaje?

Ulishawai kifanya intavyuu, zamani za kale? Maama utumishi wanakaaga nanmajina kwenye kanzidata unashangaa usahili ulifanya mwaka jana january, jina linatoka sasaivi
 
Wew umenikumbusha Chuon kuna Fala mmoj nilimpelek adi kw Dino ikaw haitosh adi nikampelek kw Head of deprt pale TIA dsm. Yule boya tulifanan Majina Yan. Mim Ally Abdarahamani Ally na yey ni Ally Ashiri Ally. Sas kwny test 1 na 2. Huw tunaandik no na jina lazim Yani. Sas changmot inakuj tukiw tunagawiw test Yule Fala lazm achukue na pepa Yang Kam hajachukua yey bac marafik Zak watachukua Tu maan ana mabest Weng. Sas Mim kila nikitafut pepa Sion na mwak WA kwnz nakumbuk test 1 mitihan karb minne sijaiona kbs nilikuw nafany kwnd kw ma lecturer Nd wananiambia umepat ngap. Na kilichonifany nimshik yey ni ilikuw nikimuuliza vp jomb we pepa yako umepat Alikuw mkali San hatk kujua. Nilimu adress aliitw akasem ye hachukui Ila rafik zake Nd Huw wanachukua kuzan ni yey niliambiw nisiandik Jina sbb ya hio inshu mwk WA pili sbb test 2 mwak WA kwnz pia mitihn 2 sijaiona kbs. Alikuw na ujinga flan nikaj kujua akipt pepa Yang anachana . Ni Fala San dogo Yule
 
Inawezekana kuna mtu majina yake yote yanafanana na yangu?

Inawezekana nikienda kuchukua barua DODOMA, nikipewa italeta shida gani?
Kuna mtu anakumezea mate uwe wake
 
Mohamed Alli Said wako zaidi ya elfu moja humu nchini
 
Usipende vitu vya dezo ambavyo hujavitolea jasho. Vingine vinaweza kukudhuru
 
Anuani akiangalia kwenye majina ya walioitwa kazini nadhani pia ipo,tatizo linakuja kwenye fani aliyosomea
Kama ni Psrs hawaweki anuani.

ili upewe bahasha yako yenye barua utaulizwa anuani yako kwanza.
 
Tatizo watu hawataki kutumia majina ya kibantu..shida yake ndio hii.
 
Kama ipo ndani ya field yako utakua ulikua kwenye "database".

Sa ulikua unatafuta nn kwenye majina ya walioitwa kazini kazi ambayo haukuomba.
 
Back
Top Bottom