Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kazi ipo🤣🤣🤣Hapana usiende kama hukutuma maombi, hivi ukipewa kazi ya ukaguzi wa hesabu ilhali unajijua umesomea vile vyuo vya clouds FM tena kozi tofauti itakuaje bwashee..?🤔😀😀
Kwani wewe hauna connectionsInawezekana kuna mtu majina yake yote yanafanana na yangu?
Inawezekana nikienda kuchukua barua DODOMA, nikipewa italeta shida gani?
Kuna mtu anakumezea mate uwe wakeInawezekana kuna mtu majina yake yote yanafanana na yangu?
Inawezekana nikienda kuchukua barua DODOMA, nikipewa italeta shida gani?
Sema huendi kudakwa huko Kaka ungedakwa na ungechezea kipigo Cha mbwa kokoNASHUKURU KWA MAONI YENU...SIENDI KUDHULUMU HAKI YA MTU...
Anuani akiangalia kwenye majina ya walioitwa kazini nadhani pia ipo,tatizo linakuja kwenye fani aliyosomeaKule watakuuliza anuani mkuu.
Hapo ndio msiba utakapoanzia.
Mpaka picha zinafanana ? 😂, wenzako humu wanakudanganya ili ukashikwe ugoniNASHUKURU KWA MAONI YENU...SIENDI KUDHULUMU HAKI YA MTU...
😂😂😂Mmefanana mpaka majina ya ukoo? Au ndio mariam Abdul mohamed. Hapo lazima utakutana na mwingine mwenye jina kama hilo. Usiende
Kama ni Psrs hawaweki anuani.Anuani akiangalia kwenye majina ya walioitwa kazini nadhani pia ipo,tatizo linakuja kwenye fani aliyosomea
Hata wakitumia kuna Majina kama SANGA, MASAWE, TARIMO hao lazima wawepo wenye kufanana tu.Tatizo watu hawataki kutumia majina ya kibantu..shida yake ndio hii.
Elimu yako inashabihiana na hiyo kazi?Inawezekana kuna mtu majina yake yote yanafanana na yangu?
Inawezekana nikienda kuchukua barua DODOMA, nikipewa italeta shida gani?
Kachape kaziInawezekana kuna mtu majina yake yote yanafanana na yangu?
Inawezekana nikienda kuchukua barua DODOMA, nikipewa italeta shida gani?