Ndiyo maana Iddi Amini hasifiwi mkuuKama Mtu Akifa anasifiwa kwa Mema yake Basi lazima Pia Alaumiwe kwa Ubaya wake ili iwe Funzo na kwa Wengini na Sio Kosa Msema aliyekufa iwe kwa Mazuri au Mabaya.
Jomba umetisha kwa hoja[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Maneno mazuri sana January kaongea
Kushindana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Magufuli is useless, this man is dead na harudi tena.
Na kushibdana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Samia ni kupoteza muda, kwa sababu Samia keshasoma gemu lote anajua nini maana ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Cha msingi ni kuwa turudi kujenga nchi kwa kutumia watu waliotosha kwa vigezo na siyo wanaojua sana kushangilia, kusifu na kujipendekeza.
Samia ana kazi kubwa ya kutengeneza serikali inayoendana na yeye na vision yake kwa nchi, hana budi kuondoa wale wote walioingia kwenye serikali kwa kununuliwa, kujipendekeza, uzandiki na fitna.
Aweke wataalamu huko kwenye kurugenzi za halmashauri na aachane na ukada
Ivi Ni kweli hairuhusiwi kumsema mtu kwa mabaya. Hasa kwa wenzetu waislamu, Kuna sehemu Quran imekataza.
Labda ulimuona wewe mungu bali sisi tulimuona mtu wa kawaida tu anayetekeleza majukumu yake.Magufuli alifanikiwa sana kuwafanya baadhi ya watanzania kumwona mungu. Asiyekosea
Mungu shuka liokoe hiki Taifa na watu wake
Yey mwenyew alikua corrupt mkubwa tuHakuna anayesema Magufuli alikuwa Malaika. Lakini kutumia mwanya wa kuondoka kwake kuturudisha kwenye corruption ya wazi; ukwepaji kodi; uwekezaji holela wa wazungu n.k sio sawa. Tumeishatoka uko. Tumkosoe kwa mambo ya msingi kama kuweka mazingira rafiki ya biashara, kuongeza ajira na kuongeza demokrasia n.k. bila kusahau lengo ni kupeleka nchi mbele.
Hakuna sehemu katika quran imekataza kuwasema watu waovu mfano firauni anzazungumziwa moaak leo. Na lengo ni kuwakumbusha waannaaadam waache vitimbi wanapokua katika duniaIvi Ni kweli hairuhusiwi kumsema mtu kwa mabaya. Hasa kwa wenzetu waislamu, Kuna sehemu Quran imekataza.
Masta mind wa hili ni PM wake na makamu wa Rais hawa ni wakufuza (PM)na makamu wa Rais ni kumblack mail,Mama kajichanganya mwenyewe, watu walishauri avunje Baraza lote la mawaziri.
Aanze upya,sijui kakutana na Nini huyu mama.
Kosa hili litamgharimu Sana.
Mwisho wa siku naiona aibu ikimpata
Hata aakifukuzwa hutateuliwa wewe.Masta mind wa hili ni PM wake na makamu wa Rais hawa ni wakufuza (PM)na makamu wa Rais ni kumblack mail,
Mwanasiasa 🤣.Makamba ni mmoja kati ya watanzania amesema alichojisikia kwa sababu zake ila na yeye mwenyewe anatakiwa kujisahihisha kwingi tuuu
Neno lake sio sheria sababu watanzania wengine pia wanasema wanachojisikia
View attachment 1751755
Kazi iendelee
Hakuna tatizo. Rudini kwenye ilani na chama, achaneni na mtu. JPM harudi ila ilani ya chama tawala ipo.Mama kajichanganya mwenyewe, watu walishauri avunje Baraza lote la mawaziri.
Aanze upya,sijui kakutana na Nini huyu mama.
Kosa hili litamgharimu Sana.
Mwisho wa siku naiona aibu ikimpata