Makamba: Kurekebisha alichofanya Hayati Magufuli sio usaliti. Dalili nilizoanza kuziona si nzuri

Tatizo ni anayesema hayo ukimuangalia usoni unajiuliza hii kauli inatoka kweli kwake -kauli ya Mwl.

Na mwisho dhumuni la kufanya hayo Mabadiliko nini , icd, nasaco, ttcl, sgr vs mabus/ma lorry , vi tanesco, gas,
 
Kwa akili za magufuli lolote lingewezekana especially km ungekuwa unatumia id yenye jina lako kamili

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ametolea mfano mambo gani ambaye Rais Samia anayarekebisha?
TAKUKURU kubambikiza watu kesi zisizo na ushahidi, TRA kupora wafanyabiashara fedha na kutishia kuwapa kesi za uhujumu uchumi, kugombana na mataifa ya nje kwa kuwaita mabeberu, kugombana na majirani n.k mpaka Makamba akutajie mzee?
 
TAKUKURU kubambikiza watu kesi zisizo na ushahidi, TRA kupora wafanyabiashara fedha na kutishia kuwapa kesi za uhujumu uchumi, kugombana na mataifa ya nje kwa kuwaita mabeberu, kugombana na majirani n.k mpaka Makamba akutajie mzee?
Ushamfukuza jamvini
 
Masta mind wa hili ni PM wake na makamu wa Rais hawa ni wakufuza (PM)na makamu wa Rais ni kumblack mail,
Credebility ya PM imeshuka hadi sifuri tangu kudanganya umma wa watanzania afya ya rais ni imara, mbaya zaidi alikuwepo msikitini.
 
TAKUKURU kubambikiza watu kesi zisizo na ushahidi, TRA kupora wafanyabiashara fedha na kutishia kuwapa kesi za uhujumu uchumi, kugombana na mataifa ya nje kwa kuwaita mabeberu, kugombana na majirani n.k mpaka Makamba akutajie mzee?
Yeye ndio katia mifano hiyo au unawakilisha mawazo yake?
 
The guy is smart up stairs, ila wana filosofia walishakataa kwamba hakuna "mawazo huru/free philosophy". Huyu ndugu haoneshi kumponda Mwendazake, wala hamsifii. Yeye anajiweka katikati.
Napenda ajitambulishe tumjue na kumhukum kwayo.
Hatujasahau wakati ule alivotutumbukiza kwenye " cyber law " ambayo mpk leo imepelekea kuzikwa kwa Uhuru wa mawazo kwa jamii.
 
Kama Mtu Akifa anasifiwa kwa Mema yake Basi lazima Pia Alaumiwe kwa Ubaya wake ili iwe Funzo na kwa Wengini na Sio Kosa Msema aliyekufa iwe kwa Mazuri au Mabaya.
Hiyo ni enzi na enzi huwezi kuuvunja huo mwiko kwa chuki zako! Mpaka kushindana na marehemu. Itakusaidia nini au marehemu atajirekebishaje ukimshinda!
 
Mnawasingizia wapinzani mbowe kaongea hajasema hill zote kachambo ripoti ya CAG hajasema hivyomtoa made no follower wa kigogo huyo ndiyo nimemsikia twitter,
 
DAlili gamni msituletee ujinga hapa. Mama Samia , Mh. Rais endelkeza ndoto za magufuli otherwise Mama yangu ukishindwa kuna wanaounyemelea urais. Work hard as you used to do. Utafanikiwa tu!
 
Magufuli alifanikiwa sana kuwafanya baadhi ya watanzania kumwona mungu. Asiyekosea
Yaani Ni Nabii tena Mafalme hasa. Na he hang on. Hajafariki yumo hai ndani ya Mioyo ya mamilioni ya watanzania. Sasa wewe Furuki=utia humuhumu mitandaoni usilogwe kuyasema mitaani unless hujitaki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…