Makambako: Katibu wa Baraza la Walei auawa ndani ya eneo la Kanisa Katoliki, kichwa chatenganishwa na kiwiliwili

Makambako: Katibu wa Baraza la Walei auawa ndani ya eneo la Kanisa Katoliki, kichwa chatenganishwa na kiwiliwili

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Nickson Myamba ambaye ni katibu wa baraza la walei kigango cha Makambako, jimbo la Njombe, amekutwa ameuawa kwa kutenganishwa kichwa na kiwiliwili chake ndani ya Kanisa Kuu Katoliki la Parokia ya Makambako usiku wa Februari 7, 2022.

Myamba.JPG

===

KIONGOZI WA KANISA AKUTWA AMEUAWA KANISANI, KICHWA CHATENGANISHWA

Nickson Myamba ambaye ni Katibu wa Baraza la Walei Kigango cha Makambako, Jimbo la Njombe, amekutwa ameuawa kwa kutenganishwa kichwa na kiwiliwili chake ndani ya Kanisa Kuu Katoliki la Parokia ya Makambako usiku wa Februari 7, 2022

Pascal Makoa ambaye ni Paroko wa Jimbo la Makambako amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema Jeshi la Polisi linaendelea na upelelezi wa mauaji hayo

RPC wa Njombe, Khamis Issah amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema upelelezi unaendelea na tayari kuna baadhi ya watu wameshikiliwa na Jeshi la Polisi

#JamiiForums #Matukio
 
Haya mauaji yamezi kuna kila sababu za kuchukua hatua za za makusud ikiwepo kuwawajibisha viongoz husik
Inatisha sana, Makamu wa Rais alishatoa amri ya kufanyika msako kwa wote wanaojihusisha na mauaji. Ila naona bado haitakuwa na ufanisi. Sijui nani tumuwajibishe.

Sasa hadi wanaanza kuuana ndani ya nyumba ya Ibada si hatari sana hii.
 
Kwa Hawa viongozi wa dini most likely amekula kondoo wa watu. Most likely maana mauaji kutekelezwa ndani ya kanisa tena hapo town kabisa Kuna jambo.

Unakuta mke anajifanya anaenda kufagia kanisa au kuimba kwaya kumbe ndio analiwa na hawa jamaa wapo kanisani wanakula sana waimba kwaya.

Ukiona mkeo anajifanya mtu wa kwaya chunguza sana utakuta umalaya wake anaifanyia hukohuko church.

Nasema most likely.
 
Kwa Hawa viongozi wa dini most likely amekula kondoo wa watu. Most likely maana mauaji kutekelezwa ndani ya kanisa tena hapo town kabisa Kuna jambo.

Unakuta mke anajifanya anaenda kufagia kanisa au kuimba kwaya kumbe ndio analiwa na hawa jamaa wapo kanisani wanakula sana waimba kwaya.

Ukiona mkeo anajifanya mtu wa kwaya chunguza sana utakuta umalaya wake anaifanyia hukohuko church.

Nasema most likely.
Haa
 
Back
Top Bottom