Makambako: Katibu wa Baraza la Walei auawa ndani ya eneo la Kanisa Katoliki, kichwa chatenganishwa na kiwiliwili

Makambako: Katibu wa Baraza la Walei auawa ndani ya eneo la Kanisa Katoliki, kichwa chatenganishwa na kiwiliwili

Kwa mauaji yanayotekea kla sku Tanzania kwa upande wangu naweza kuyajadili kwa namna Mbili(2).

1) mauaji mengi yanayotekea Tanzania kwa sasa kwanza ni mauaji au govi binafsi kwa serikal itakua ni ngumu kuyajua yote kbla ayajatokea na kuweza kuyazuia
Mf juz askar jwtz kamuua baba yake
Mara bibi kamuua mjukuu
Hii ya juzi kanisan kiongizi wa kanisa kuuwawa
Mauaji yote hayo ni mambo binafsi na govi binafsi baina ya familia au wana jamii

2) ongezeko la smartphone blogs na vyombo vingne vya kutoa taarifa maana yake zaman mauaji yalikuepo kwa mm nlietokea mkoa wa Mara mauaji na mauaji ya visasi yalikuepo sana sio mkoa wa mara tu bali Tanzania kwa ujumla ila kinachotokea sasa ni kitu kinaitwa utandawazi dunia kua kijiji leo Tanzania sio kijiji ni mtaa maana yake tukia linatokea saiv baada ya masaa 2 Tanzania nzima tushapata taarifa ni hii imesababisha na ongezeko kubwa la mitandao ya kijamii blogs
 
Polisi Mkoani Njombe wamemkamata Daniel Mwilango kwa tuhuma za mauaji ya Nickson Myamba (48) aliyekuwa Katibu wa Baraza la Walei Kanisa la Roman Katoliki Kigango cha Parokia ya Makambako yaliyotokea February 08, 2022, Mwilango amekamatwa Wilayani Mvomero, Morogoro.

RPC wa Njombe, Hamis Issa amesema Mtuhumiwa amekamatwa akiwa na vitu mbalimbali vya Marehemu "Simu ya Marehemu alikuwa anayo yeye pamoja na funguo ikiwemo ile ya chumba ambacho tukio lilitokea, Mtuhumiwa huyo amekiri na kuonesha vitu alivyotumia katika mauaji ikiwemo panga aliliokuwa amelitupa chooni, chuma alichotumia kumpiga Marehemu, ndoo na vitambaa vilivyotumika kwa ajili ya usafi wa damu kwenye chumba yalipotendekea mauaji"

"Mauaji yalitokea kwenye duka la vitabu lililopo katika eneo la Kanisa hilo ambapo Mtuhumiwa alijiandaa na kutumia chuma kizito kumpiga mwenzake kisogoni, alipopoteza fahamu alimuongezea chuma kingine na hili pigo la pili lilimsababishia Nickson Kufariki, alichokifanya Daniel alitumia panga kuutenganisha mwili, kiwiliwili, kichwa na kifua vilikuwa sehemu yake halafu na kiuno na miguu vilikuwa sehemu yake”

"Tunamshikilia pia Mlinzi wa Kanisa hilo anayeitwa Nickson Valentine kwa kushiriki katika tukio hilo, upelelezi unaendelea na hadi sasa tumebaini chanzo ni chuki za Mtuhumiwa dhidi ya Marehemu, ukimuuliza anasema 'Marehemu ni tishio la maisha yangu kwasababu amepewa kazi zangu' na anamuhisi Marehemu ndiye aliyesababisha yeye akaondolewa kwenye sehemu ya duka na miradi mingine wakati yeye aliondolewa kwasababu ya ubadhilifu na sio vinginevyo”
 
Polisi Mkoani Njombe wamemkamata Daniel Mwilango kwa tuhuma za mauaji ya Nickson Myamba (48) aliyekuwa Katibu wa Baraza la Walei Kanisa la Roman Katoliki Kigango cha Parokia ya Makambako yaliyotokea February 08, 2022, Mwilango amekamatwa Wilayani Mvomero, Morogoro.

RPC wa Njombe, Hamis Issa amesema Mtuhumiwa amekamatwa akiwa na vitu mbalimbali vya Marehemu "Simu ya Marehemu alikuwa anayo yeye p
Halitaisha mpaka watu watakapoacha madhambi na kurejea katika maamrisho ya muumba wao. Binadamu akijiepusha na kuipenda sana dunia (mali) na madhambi makubwa kama ushirikina na zinaa si rahisi kwa yeye kushika panga na kuua mtu.
 
Umasikini na roho mbaya, ni sawa na pipa na mfuniko!!kwani masikini huwa inafikia ana ona hana kitu cha kupoteza hata kwa tendo ovu ambalo atalifanya!!

Ndio maana haya mambo ya mauaji mala nyingi utakuta yanatokea sehemu ambako hali ya maisha yao ni duni!na ndio hupelekea kujiingiza kwenye imani za kishirikina ambazo matokeo yake ni mauaji.
 
Halitaisha mpaka watu watakapoacha madhambi na kurejea katika maamrisho ya muumba wao.Binadamu akijiepusha na kuipenda sana dunia (mali) na madhambi makubwa kama ushirikina na zinaa si rahisi kwa yeye kushika panga na kuua mtu.
Umesomeka kiongozi
 
Taifa linapitia mateso makali ya laana baada ya kumpata Malkia Yezebeli ambae hana kibali mbele za Mungu baada ya kunyakua madaraka kwa kupora chaguzi.

16450052066120.png
 
Umasikini na roho mbaya, ni sawa na pipa na mfuniko!!kwani masikini huwa inafikia ana ona hana kitu cha kupoteza hata kwa tendo ovu ambalo atalifanya!!
Ndio maana haya mambo ya mauaji mala nyingi utakuta yanatokea sehemu ambako hali ya maisha yao ni duni!na ndio hupelekea kujiingiza kwenye imani za kishirikina ambazo matokeo yake ni mauaji.
Kwahiyo nchi zilizoendelea hakuna mauaji mkuu?
 
Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune ametangaza kuwa kuanzia March 2022, Serikali itaanzisha mafao ya ukosefu wa ajira kwa vijana kwa lengo la kulinda utu wa Vijana, Kijana asiye na ajira atapewa dinari 13,000 kila mwezi (Tsh. 213,000) hadi atakapopata kazi. #MillardAyoUPDATES https://t.co/SKKbgbT9sF

haya yote kiini chake ni mali, bora tuwaige algeria.
 
Dawa ya wauaji ni kunyonga hadharani tu wanachosha
 
Ila nadhan makafara huwa yapo tu! Kipindi kikwete ameingia madarakan ajali za meli zilikua nyingi na tren,kipindu cha magu ajali za barabaran zilikua nyingi huyu naye kaingia ni watu kuuwana tu! Tumuombe sana Mungu
 
Polisi Mkoani Njombe wamemkamata Daniel Mwilango kwa tuhuma za mauaji ya Nickson Myamba (48) aliyekuwa Katibu wa Baraza la Walei Kanisa la Roman Katoliki Kigango cha Parokia ya Makambako yaliyotokea February 08, 2022, Mwilango amekamatwa Wilayani Mvomero, Morogoro.

RPC wa Njombe, Hamis Issa amesema Mtuhumiwa amekamatwa akiwa na vitu mbalimbali vya Marehemu "Simu ya Marehemu alikuwa anayo yeye pamoja na funguo ikiwemo ile ya chumba ambacho tukio lilitokea, Mtuhumiwa huyo amekiri na kuonesha vitu alivyotumia katika mauaji ikiwemo panga aliliokuwa amelitupa chooni, chuma alichotumia kumpiga Marehemu, ndoo na vitambaa vilivyotumika kwa ajili ya usafi wa damu kwenye chumba yalipotendekea mauaji"

"Mauaji yalitokea kwenye duka la vitabu lililopo katika eneo la Kanisa hilo ambapo Mtuhumiwa alijiandaa na kutumia chuma kizito kumpiga mwenzake kisogoni, alipopoteza fahamu alimuongezea chuma kingine na hili pigo la pili lilimsababishia Nickson Kufariki, alichokifanya Daniel alitumia panga kuutenganisha mwili, kiwiliwili, kichwa na kifua vilikuwa sehemu yake halafu na kiuno na miguu vilikuwa sehemu yake”

"Tunamshikilia pia Mlinzi wa Kanisa hilo anayeitwa Nickson Valentine kwa kushiriki katika tukio hilo, upelelezi unaendelea na hadi sasa tumebaini chanzo ni chuki za Mtuhumiwa dhidi ya Marehemu, ukimuuliza anasema 'Marehemu ni tishio la maisha yangu kwasababu amepewa kazi zangu' na anamuhisi Marehemu ndiye aliyesababisha yeye akaondolewa kwenye sehemu ya duka na miradi mingine wakati yeye aliondolewa kwasababu ya ubadhilifu na sio vinginevyo”
Ila inatisha sijui kuna nini maana mauaji ya kutisha yameshamiri sana kuanzia Desemba 2021 hadi sasa haikatishi wiki unasikia mauaji
 
Binafsi naona kuna shida, ama mapadri wanawindwa na watu nje ya kanisa, ama wao kwa wao, ama yumkini wanamahusiano yasiyo ya afya na baadhi ya walei, au au au!! Lakini kingine, ni kwamba mwaka huu, mapadri wawili, mmoja Dar na mwingine juzi ameuawa Iringa wote ni kutoka nje ya nchi! Je kuna nini hapo?
 
Binafsi naona kuna shida, ama mapadri wanawindwa na watu nje ya kanisa, ama wao kwa wao, ama yumkini wanamahusiano yasiyo ya afya na baadhi ya walei, au au au!! Lakini kingine, ni kwamba mwaka huu, mapadri wawili, mmoja Dar na mwingine juzi ameuawa Iringa wote ni kutoka nje ya nchi! Je kuna nini hapo?
Ujasusi mkuu, hata yule wa posta ni kifo cha kijasusi
 
Back
Top Bottom