Makambako: Katibu wa Baraza la Walei auawa ndani ya eneo la Kanisa Katoliki, kichwa chatenganishwa na kiwiliwili

Haya mauaji yamezi kuna kila sababu za kuchukua hatua za za makusud ikiwepo kuwawajibisha viongoz husik
We boya kweli!! kwani viongozi ndio wanawachinja?? badala useme uelimushaji jamii dhidi ya uhalifu uongezeke we unalaumu viongozi, itafika basi mahali kama mtu hamtaki DC fulani ataanza kuua watu hovyo ili DC awajibishwe we unaona ni fair hiyo?? acha kukurupuka waachie wataalam kazi yao
 
Huko kuna mengi tusiyoyajua.
Kuna parokia moja sitaitaja waliwahi kufukuza padri, waliandika kabisa barua kwa askofu kwamba asipoondolewa watamuua. Alikuwa analawiti wale wavulana wa altareni, altar boys!
Dar es salaam kuna padri alikamatwa live pale njiapanda ya chuo kikuu mlimani, enzi hizo haijajengwa Mlimani City, akiwa amepaki double cabin kwenye kichaka usiku akiwa anamlawiti mvulana mmoja ambaye alizoeana naye tangu huyo mvulana alipokuwa altar boy kule Mabibo. Padri aliitwa Sixtus Kimaro, na kesi yake ilivuma sana Kisutu, akahukumiwa jela miaka 30. Huyo unadhani mzazi wa huyo mvulana angemkamata angemfanyaje?
Na walei wenye tabia hizo wapo.

Hapo sijazungumzia wanaokula wanakwaya ambao ndio lukuki hadi sasa imeshaonekana ni kawaida.

Yanahitajika matengenezo makubwa humo makanisani.
 
Kuruhusu mambo ya machief ndio kumeleta roho hii chafu ya makafara
 
Huna hoja. Jikite kwenye mada iliyopo mezani. Achana na mambo ya kuunga unga habari. Aliyeuwawa siyo Padre!

Ni muumini tu wa kawaida naambaye alikuwa ni Kiongozi wa hilo kanisa dogo la Makambako. Na sababu haijulikani mpaka sasa. Hivyo muwe na subira kama mnataka kuufahamu ukweli.
 

 
usiku woote huo alikuwa ana fanya nini ndani ya eneo la kanisa na hali hapa kuwa na misa?
 
Hivi kwa nini utongoze mke wa mtu?
Halafu hizi kesi za wachungaji zimekuwa nyingi sana! Kule Kenya ndio usiseme!
Siku zote mapenzi hayana siri. Hata mfiche vipi, mwenye mke atagundua tu?
Hata kama alikuwa hampendi kivile, hasira inakuwa juu ya unafiki.
 
Kwa uzoefu wangu, Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya umalaya na kuimba kwaya, Kama mtu ni malaya hata nyumbani kwa mume wake ataufanya na hakuna mtu atajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzoefu wangu, Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya umalaya na kuimba kwaya, Kama mtu ni malaya hata nyumbani kwa mume wake ataufanya na hakuna mtu atajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumbani angalau anadhibitiwa.
Huko nje Mkuu acha tu! Nawafahamu hao! Sio Malaya, ila wanajirahisi mnooo!
Wanakujaga sana maeneo ya Temeke na Tandika
 
Kwa zama zetu hizi, haya yapo sana. Na hii ndio dawa pekee
 
Tatizo haya mauaji ni kama ugonjwa wa ukimwi..hayana specific gender,ingekua rahisi zaidi kama haya mauaji yangekua yanalenga jamii fulani kama ilivyokua kwa albinism au sijui wachuna ngozi...ila ona sasa haya mauaji hayaeleweki mara mume kamuua mke,mtoto kamuua Mama, hujakaa sawa Baba kaua mke na watoto mara mlinzi wa shule inshort imekua kazi ngumu sana kwa jeshi la polisi
 
Mawazo ya ngono yametutawala wabongo. Tayari sababu imeshajengwa, eti mke wa mtu! Subirini vyombo vya uchunguzi vifanye kazi yake
Kama hupendi ngono tutakugongea mkeo endelea kujifanya decent tutamla mpaka ukome
 
Kwa uzoefu wangu, Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya umalaya na kuimba kwaya, Kama mtu ni malaya hata nyumbani kwa mume wake ataufanya na hakuna mtu atajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnakuwaga hamsomi kwa kuelewa, nimesema most likely. Sababu zaweza kuwa nyingi tu mie nimeandika yangu nawe andika yako but ingependeza ungeelewa kwanza maana ya nilichoandika.
 
Mimi nimesoma hadi mwisho hakuna tetesi za nani aliyefanya unyama huu. Ina maana Njombe hakuna wanJF AMA?
 
Niko kwenye mada 100% . Mada ni mauaji kanisani. Tunajaribu kuchambua possible reasons. Nadharia mbalimbali zinawekwa mezani. Nadharia yangu na wengine wachache waliosema ni kuhusu kisasi. Na argument yangu ni kwamba kama padri anaweza kutenda uovu kama huo nilioeleza, tutashangaa nini kama mlei pia akiyatenda hayo au hata zaidi? Na je, hayo hayasababishi kisasi?
 

Hata nikiandika huu ujumbe mwili unanisisimka.
Kweli Ibilisi kapamba moto, kuua hata kanisani?

Kwenye habari leo magazetini muuaji kakamatwa.
Sababu za kuua hazina maana kabisa.
Lakini huyo muuaji atapata laana hadi kizazi cha nne.

Jamani tuliongea Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…