Jamaa anahisi tupo enzi za 90’s ambapo mtaalamu hadi alipiwe ndege! Sikuhizi kuna Dashboard bana ni kubadili values tu mfumo wa backend unaji adjust!Wanazo software za kuchange vifurushi, ni dakika moja tu kubadili rate, haina ufundi wowote
Magu ndo alitaka vifurushi vipande ili asikosolewe mitandaoni. Huo mchakato haramu alieuanzisha Ni Magu huyo unaemmiss. Na kama vp kama umemmiss sana mfate huko aliko!Namkumbuka anko Magu kwa kweli
Pia una shida sana na sms , Mara nyingine zina fail kutokaTatizo huo mtandao unachoniuz unashika sehemu na sehemu ahushiki sehemu zote bado hauna nguvu sjui tatizo ni minara
Programming ndio inarekebishwa haraka kuliko manual, au hujui mambo ya dijitali mkuu? Ila hapa ni siasa inachezwa. Serikali itakuwa imewapandishia kodi, wamerespond nao kwa kupandisha bei, serikali wamewaamuru washushe bei bila kodi kushuka, jamaa wamekomaa.Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Ku-UNDO kwani inachukua muda gani? Just Ctrl+Z then mambo yanarudi km yalivyokua.Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Serikali ndio mbaya wako. We unaamini hawa jamaa wana ubavu wa kupingana na serikali?Nikiwa kama mtumiaji mkubwa kampuni hii...naona imeminya sana huduma za nawasiliano...
Haiwezekani kupiga 3/4 nzima mteja anapata 1/4 pekee. Mbaya zaidi serikali imetangaza kutoongeza bei..wao wamebaki na wanatupiga vby
Hongera! @Umepokea #60 (Mitandao Yote) + Dk 80(Halotel) + 4096 MB + SMS 100 hadi 00:23 00/00/2021. Asante!
Hii ni kwa shilingi 10,000/=
Sio fair.
Huyu anaendelea na Ubalozi??
Hamna anayeweza kaidi mzee, achilia mbali na hatua wanazoweza chukuliwa, wao wenyewe watapoteza wateja kwenda mitandao yenye unafuu.Voda bado wamekaidi agizo
Huu mtandao gani..?Mmoja mmoja...View attachment 1742872
Hivi ni nani anayechukukuaga hizi nyuzi na kupeleka phoenix? Nimeuliza kwa uzuri tu kwa kutaka kujua.Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.
Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.
Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.
Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Natumia AIRTELHuu mtandao gani..?
Sijawahi kufahamu aisee. Alafu hawana mtindo wa kutoa credit kwa mtandao husika wala mtoa mada. Kazi ya kuokoteza habari huku na kule!Hivi ni nani anayechukukuaga hizi nyuzi na kupeleka phoenix? Nimeuliza kwa uzuri tu kwa kutaka kujua. View attachment 1742877
No ngumu ku explain in an easy manner ....we jua sio mchakato wa siku moja hapo labda kuanzia kesho ndo inaweza changeNilichomaanisha ndiyo hicho kwamba sijui kitu kuhusu programming
Lakini mbona hujatufahamisha chochote zaidi ya kutu crash as if wote tunaijua hiyo progr....
Inakuwaje airtel wana bei tofauti kwa wateja wao?Airtel wamerudiView attachment 1742871
Umetazama kwenye ofa yako then SMATIKA?Inakuwaje airtel wana bei tofauti kwa wateja wao?
Kwa wateja wengine sh 2000 unapata 2GB, ila naona wewe unapata 3GB
Nawapa tu siku ya leo kesho nahamia mtandao mwingineHamna anayeweza kaidi mzee, achilia mbali na hatua wanazoweza chukuliwa, wao wenyewe watapoteza wateja kwenda mitandao yenye unafuu.
TTCL wamerudi. ZANTEL wamerudi. AIRTEL wamerudi. Alafu wewe ujifanye kichwa ngumu? Ataumia nani kama si wao hapo?
Credit ya mtandao wanaonesha ila nilikuwa nataka kujua, huwa wanakuwa na agents kila nchi wanaopick na kufilter taarifa kwenye mitandao ama!Sijawahi kufahamu aisee. Alafu hawana mtindo wa kutoa credit kwa mtandao husika wala mtoa mada. Kazi ya kuokoteza habari huku na kule!