Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Na Waziri wao AFURUSHWE na kesi ya uhujumu uchumi imguse...View attachment 1741964
SWALI NI KWA NINI TCRA WALIKUBALIANA MAKAMPUNI YA SIMU KUIDHINISHA BEI ZA AJABU AJABU ⁉️
OMBI LANGU BODI YA TCRA IVUNJWE NA MENEJIMENTI KUPIGWA CHINI MARA MOJA.
Hana faida na najutia kura yangu niliyo mpigia nikiwa kama mjumbeHuyu Ndungulile hakuna anachofanya - atumbuliwe tu ili aapishwe mwengine Jumanne kama mama Samia alivyotu promise!
Utakua mgeni wa utawala wa CCM ndo imetoka hiyo. Hakuna kitu kiliwahi kupanda bei watu wakalalamika kikashuka wanaishia kutoa matamko wakiamini ni upepo tu utapita, rejea sukari, cement, mafuta ya kula nk. Waliopandisha ni haohao serikali kupitia kikao cha ndugulile na wamiliki wa mitandao mwezi uliopita hivyo usitegemee kushuka.Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.
Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.
Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.
Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Huu mtandao ganYashaanza kutekelezaView attachment 1742000
Walijua wako na Jiwe. Mkilalamika mnaambiwa kaeni na mavi yenuHawa tcra nao ni jipu... Yaani walikaa chini wakakubaliana na makampuni juu ya bei mpya.. kisha leo wanaamua kusitisha... Walipokubaliana mwanzo hawakuona kuwa bei hizo ni mzigo kwa mwananchi? Je wao sio sehemu ya jamii ya kitanzania? Maisha ya raia hawayajui? Hawa jamaa yafaa watupishe maana kazi imewashinda..
Ikawaje programming ika act fast to their favor pale tu tangazo lilipotoka ila sasa lipo against iwe ishu ya muda mrefuHzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Tunakazia hapa hapaView attachment 1742025
Unafahamu kuna kitu kinaitwa rollback na version control system !?Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Nenda mikoani hukoo ndo utajua vodacom ni wa aina gani.MSIMAMO UKO HIVI
1. TIGO
2.HALOTEL
3. VODACOM
4. AIRTEL
5. ZANTEL
Next Tigo ana safu imara ya ushambuliaji akifuatiwa na Halotel kapanda ligi kuu ila ana safu nzuri ya ulinzi, wengine waliobaki wanapigania kumaliza nafasi ya 2
Usidanganye watu hapaWanazo software za kuchange vifurushi, ni dakika moja tu kubadili rate, haina ufundi wowote
Kwa Lipi we GurugujaNamkumbuka anko Magu kwa kweli
Huyo ni Chakubanga wa LumumbaKati ya watu waliokuwa wanafurahia bei mpya za bundle unaonekana nawewe ulikuwa mmoja wao.
Utamuharibia kazi mwenzako na wataanza kuogopa kuwapa wabongo nafasi za juu maana watajua wanavujisha mambo kama haya kirahisi tu kwa lugha ya kiswahili😂😂😂kuna mtu nliongea nae jana ana kitengo kikubwa tigo alisema itachukua mda angalau wiki wapange vifurushi upya tena
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Hii mijitu haijielewi kabisaHuyo ni Chakubanga wa Lumumba
Kumbe mko naye pande hiyo! Could be the reason he is sabotaging the establishment. Aondoshwe mapema.Hana faida na najutia kura yangu niliyo mpigia nikiwa kama mjumbe
Du. Yaani wewe unawaza hayo tu. Hujui mitandao wengine wanatumia katika biashara?Route za xvideos zitapungua. Waminye zaidi kubet online kuwe kugumu
Hakuna hujuma yoyote afanye kaziNina shaka sana HWENDA KUNA HUJUMA AMA NIA OVU DHIDI YA RAIS WETU SSH Kwanini haya ya Mitandao, Maji na Tanesco yaandamane... nawaza tu kuwa kuna kidudumtu...