Mkuu sasa na nyie acheni kucheza rumba la Lissu - yaani kwa sasa ni kukimbizana hovyo hivyo hapo Lumumba, taasisi za dola zinagongana kimaamuzi kisa Lissu.. aaaaaaahhh.KUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Hahaaa leo lumumba nao wanatoa ushauri, kweli wonders shall never end..KUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Unampangia aendeje sokoni? Wether aende mwenyewe au na mke wake hayo ni maamuzi yake binafsi.Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? chamsingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Mbona unateseka?Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Aende tuuKwahiyo hutaki watu waende sokoni
Wewe upo kundi gani Kati ya hayo?Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
"Wivu sina Ila roho inauma mama [emoji443][emoji443] hata silali hata silali shery [emoji445][emoji445] mama aii aii, shery nabela! [emoji443][emoji445][emoji450]"KUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Pole kwa muweweseko, unataabika sanaHuko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Achana na huyo mdeki vyoo vya lumumbaWewe
Wewe upo kundi gani Kati ya hayo?
Anaongea na wachuuzi lugha gani? Kiingereza au?Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh Tundu Lissu ameingia Kariakoo kununua mahitaji mbalimbali
Huyu hapa
View attachment 1592971
View attachment 1592973
Afadhali angemuacha afenye kampeni huko mikoani.Napiga picha Jiwe huko Gereji
sasa huyo dogo aliyetaka kumsalimia kapigwa kibega, halafu mbona kama anazomewa vile?
KIGOGO WA SERIKALI VS KABILA LA WAGOGO KAZINI YUPI NI YUPIAfadhali angemuacha afenye kampeni huko mikoani.
Lissu ndio mkombozi wa watanzania,Kila anakopita analeta matumainiMakamu Mwenyekiti CHADEMA Mh Tundu Lissu ameingia Kariakoo kununua mahitaji mbalimbali
Huyu hapa
View attachment 1592971
View attachment 1592973