Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Lissu ni mwezi mchanga sijui ilikuwa vipi cdm wakamruhusu kuwa mgombea kabla ya kuangalia afya ya akili yake. Na dalili za hali ya hewa nchini zinaonesha kuelekea 28 oct anga litakuwa limetandwa na mawingu kiasi. Apewe uangalizi wa karibu asije kwenda flyover ya Ubungo ama pale Mfugale na SGR akaanza kuharibu miundo msingi ya JPM kwa kung'oa vyuma na kwenda kuuza sekerepa kwa kanjubhai.
 
The Great TL.
Screenshot_20201007-081808_1602069044669.jpg
 
Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!

Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Nimekuambia unateseka sana Relax bwana! Usipoangalia uta rest in peace kabla ya 28/10 tukose kura ya Lissu bure maana naamini utaiva tuu na kumpa kura.
Wewe una akili bwana! Hatuwezi kukulinganisha na mizigo mingine kama jingalao Bwana jela Bia yetu MOTOCHINI na utopolo wengine wachache.
 
Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!

Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Nimekuambia unateseka sana Relax bwana! Usipoangalia uta rest in peace kabla ya 28/10 tukose kura ya Lissu bure maana naamini utaiva tuu na kumpa kura.
Wewe una akili bwana! Hatuwezi kukulinganisha na mizigo mingine kama jingalao Bwana jela Bia yetu MOTOCHINI na utopolo wengine wachache.
 
Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Hata akitembea hivyo tu na akasalimiana na watu ni tosha sana.
 
Yawezekana Mkewe yupo jimboni anatafuta kura.
Hana mtu wa kumtuma sokoni.
Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
 
Back
Top Bottom