Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Ni vizuri hawa watu wakiwa wanapata experience ya maendeleo ya vitu, wakiwa kwenya ma vx yao huwa hawaelewe impact ya miundombinu kwa watu wa chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Matacco" yenu ninyi, mlidhani huyo ana akili kama za akina KIBAJAJI, MSUKUMA na hopeless wengine wa huko CCM?Chamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Hakuna msanii, T-shirts wala malori.Lissu ndio mkombozi wa watanzania,Kila anakopita analeta matumaini
Nimekuambia unateseka sana Relax bwana! Usipoangalia uta rest in peace kabla ya 28/10 tukose kura ya Lissu bure maana naamini utaiva tuu na kumpa kura.Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Nimekuambia unateseka sana Relax bwana! Usipoangalia uta rest in peace kabla ya 28/10 tukose kura ya Lissu bure maana naamini utaiva tuu na kumpa kura.Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Acha uongo bwana Jela....Mbona yule alivyokuwa anaenda ferry hukuwahi kusema hayo.Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Hata akitembea hivyo tu na akasalimiana na watu ni tosha sana.Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Bii swag ya kutanguliza "mimi sina chama" imepitwa na wakati. achakujishtukiaMimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Unamuona hana akili kiasi hicho?Akiomba kura tu atakuwa kafanya kampeni tunafuta jina kwenye sanduku la kura
Unajua alipotoka?Hizi sasa ni kampeni
Tangu kwenye mwendokasi mnae tu
Kwa nini unamuonea huruma? Si unataka uje ummalize 28/10 muache azurule uje umchinje vizuri 28 October.KUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Huyo ni "Learned brother" he knows how to play with his profession.Adhabu ya NEC ni kichekesho. Sasa jamaa anapiga campaign kinamna na NEC wala polisi hawana grounds za kumzuia wala kumkamata