Kulikuwa na hizi mbuzi hapa tukadhani CDM watajifunza:
CHADEMA jifunzeni kwenye Ziara ya Makamu wa Rais Kahama
Hadi watoto wa shule walifungiwa njia. Ajabu na kweli CDM nao wakarudia yale yale Mwanza.
Tukasema wee, tukazodolewa hadi na ma kina joni.
Yakaja haya:
Ulinzi wa viongozi nani alitudanganya?
Ajabu na kweli CDM nao wanafanya yale yale.
Takasema tena weee, tukazodolewa tena hadi na mambuzi mengine. Ila tujuacho kinacho mkera yule kitakukera na wewe "under normal circumstances." Ni suala la muda tu na wapi imesimama.
Ninakazia CDM tusicheze wala kuchezeshwa ngoma na ma CCM. Hayana nia njema na bado tunao uwezo wa kuzicheza ngoma zetu kwa ufasaha tu.
Pole pole, lakini tutafika tu.
CHADEMA jifunzeni kwenye Ziara ya Makamu wa Rais Kahama
Hadi watoto wa shule walifungiwa njia. Ajabu na kweli CDM nao wakarudia yale yale Mwanza.
Tukasema wee, tukazodolewa hadi na ma kina joni.
Yakaja haya:
Ulinzi wa viongozi nani alitudanganya?
Ajabu na kweli CDM nao wanafanya yale yale.
Takasema tena weee, tukazodolewa tena hadi na mambuzi mengine. Ila tujuacho kinacho mkera yule kitakukera na wewe "under normal circumstances." Ni suala la muda tu na wapi imesimama.
Ninakazia CDM tusicheze wala kuchezeshwa ngoma na ma CCM. Hayana nia njema na bado tunao uwezo wa kuzicheza ngoma zetu kwa ufasaha tu.
Pole pole, lakini tutafika tu.