Makamu wa Rais Dkt. Mpango apiga marufuku Polisi kufunga Barabara kwenye Misafara
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mango akiwa ziarani Mwanza amesema hataki kusikia tena Barabara zikifungwa kwa masaa mengi ili apite, huku akisema dakika 10 zinatosha ili Wananchi waendelee na shughuli zao.

Dr. Mpango amewaomba radhi Wananchi kwa usumbufu walioupata baada ya jana Barabara kufungwa kwa saa nne ili veve apite "Nilishamwambia IGP na nirudie kuwaambia Makamanda wa Polisi wa Mikoa, mambo ya kufunga barabara kwa masaa mengi kisa tu Mtoto wa masikini Philip Mpango anapita hapana"

"Jana naambiwa mmefunga Barabara mpaka masaa manne haiwezekani, kwanini?, sitaki kusikia tena hili linajirudia, muambizane na wanaopokea msafara huko tutakakopita"

"Acheni Wananchi wapite kwani dakika 10 hazitoshi), masaa manne kweli!? Nawaomba radhi ya dhati kabisa Wananchi"

======

Kauli ya Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango inafuatia Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Jijini Mwanza kufunga Barabara kwa Saa 4 katika ziara yake na kusababisha foleni na adha kwa Watumiaji Barabara wengine.

Kitendo hicho kimefanya Dkt. Mpango kuwaomba radhi Wananchi huku akiwahoji Polisi kama Dakika 10 hazitoshi kupisha Misafara. Pia, amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) na Makamanda wa Polisi wa Mikoa yote kutorudia tena utaratibu huo.

Kumekuwa na Malalamiko ya Wananchi ya mara kwa mara kuhusu Misafara ya Viongozi kusababisha Foleni na usumbufu katika maeneo mbalimbali Nchini lakini bado suala hilo halijapatiwa ufumbuzi.

Mtoto wa masikini 😂
Hii kauli maana yake si wazazi wake ndio masikini na si yeye
 
  • Je ni akina nani wanapaswa kufungiwa barabara?
  • Zama hizi, kama ulinzi wa viongozi unawezeshwa kwa kufunga barabara, jamaa wa kitengo wajitafakari
 
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mango akiwa ziarani Mwanza amesema hataki kusikia tena Barabara zikifungwa kwa masaa mengi ili apite, huku akisema dakika 10 zinatosha ili Wananchi waendelee na shughuli zao.

Dr. Mpango amewaomba radhi Wananchi kwa usumbufu walioupata baada ya jana Barabara kufungwa kwa saa nne ili veve apite "Nilishamwambia IGP na nirudie kuwaambia Makamanda wa Polisi wa Mikoa, mambo ya kufunga barabara kwa masaa mengi kisa tu Mtoto wa masikini Philip Mpango anapita hapana"

"Jana naambiwa mmefunga Barabara mpaka masaa manne haiwezekani, kwanini?, sitaki kusikia tena hili linajirudia, muambizane na wanaopokea msafara huko tutakakopita"

"Acheni Wananchi wapite kwani dakika 10 hazitoshi), masaa manne kweli!? Nawaomba radhi ya dhati kabisa Wananchi"

======

Kauli ya Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango inafuatia Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Jijini Mwanza kufunga Barabara kwa Saa 4 katika ziara yake na kusababisha foleni na adha kwa Watumiaji Barabara wengine.

Kitendo hicho kimefanya Dkt. Mpango kuwaomba radhi Wananchi huku akiwahoji Polisi kama Dakika 10 hazitoshi kupisha Misafara. Pia, amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) na Makamanda wa Polisi wa Mikoa yote kutorudia tena utaratibu huo.

Kumekuwa na Malalamiko ya Wananchi ya mara kwa mara kuhusu Misafara ya Viongozi kusababisha Foleni na usumbufu katika maeneo mbalimbali Nchini lakini bado suala hilo halijapatiwa ufumbuzi.

Ninakubaliana na Philipo na ninaamini kayasema maneno hayo kwa dhati ya moyo wake.

Ila mbona kauli yake hii inafanywa kuwa kama Kampeni ya "promosheni'?

Tayari Kuna "chawa" wanaomnyemelea?
 
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mango akiwa ziarani Mwanza amesema hataki kusikia tena Barabara zikifungwa kwa masaa mengi ili apite, huku akisema dakika 10 zinatosha ili Wananchi waendelee na shughuli zao.

Dr. Mpango amewaomba radhi Wananchi kwa usumbufu walioupata baada ya jana Barabara kufungwa kwa saa nne ili veve apite "Nilishamwambia IGP na nirudie kuwaambia Makamanda wa Polisi wa Mikoa, mambo ya kufunga barabara kwa masaa mengi kisa tu Mtoto wa masikini Philip Mpango anapita hapana"

"Jana naambiwa mmefunga Barabara mpaka masaa manne haiwezekani, kwanini?, sitaki kusikia tena hili linajirudia, muambizane na wanaopokea msafara huko tutakakopita"

"Acheni Wananchi wapite kwani dakika 10 hazitoshi), masaa manne kweli!? Nawaomba radhi ya dhati kabisa Wananchi"

======

Kauli ya Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango inafuatia Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Jijini Mwanza kufunga Barabara kwa Saa 4 katika ziara yake na kusababisha foleni na adha kwa Watumiaji Barabara wengine.

Kitendo hicho kimefanya Dkt. Mpango kuwaomba radhi Wananchi huku akiwahoji Polisi kama Dakika 10 hazitoshi kupisha Misafara. Pia, amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) na Makamanda wa Polisi wa Mikoa yote kutorudia tena utaratibu huo.

Kumekuwa na Malalamiko ya Wananchi ya mara kwa mara kuhusu Misafara ya Viongozi kusababisha Foleni na usumbufu katika maeneo mbalimbali Nchini lakini bado suala hilo halijapatiwa ufumbuzi.

nilikuwa Dodoma last week, maeneo kama kule kwa waziri mkuu, aliye karibu na huyu mheshimiwa amwambie, awe basi anatoka baada ya watu kwenda church jumapili, tulikalishwa pale kumsubiri Majaliwa apite karibia saa moja, na hakupita wala nini. na ulikuwa muda wa kanisani ibada ya pili saa nne. watu walifyonya sana. magari yamepaki kuanzia royal hadi kule njiapanda wajenzi, atu tunamsubiria mtu apite ambaye ndio sisi tunamlipa mshahara. watu walifyonya balaa. majaliwa anasimamisha sana ule uelekeo wa kwa waziri mkuu kwa wale waliokaa kidogo dodoma wanajua, mwambieni awe anatoka wakati watu walau wameshaenda wanakoenda. kwa waliokuwa dodoma jumapili iliyopita mnajua ninachosema.
 
Unaweza kusema kamaanisha kumbe wapi, wanapenda na kitu enjoy..

Kuna muda wanapigiwa deki na kuzibiwa viraka barabara wapite.
 
nilikuwa Dodoma last week, maeneo kama kule kwa waziri mkuu, aliye karibu na huyu mheshimiwa amwambie, awe basi anatoka baada ya watu kwenda church jumapili, tulikalishwa pale kumsubiri Majaliwa apite karibia saa moja, na hakupita wala nini. na ulikuwa muda wa kanisani ibada ya pili saa nne. watu walifyonya sana. magari yamepaki kuanzia royal hadi kule njiapanda wajenzi, atu tunamsubiria mtu apite ambaye ndio sisi tunamlipa mshahara. watu walifyonya balaa. majaliwa anasimamisha sana ule uelekeo wa kwa waziri mkuu kwa wale waliokaa kidogo dodoma wanajua, mwambieni awe anatoka wakati watu walau wameshaenda wanakoenda. kwa waliokuwa dodoma jumapili iliyopita mnajua ninachosema.
Mara nyingi ni kiherehere cha mapolisi kinachotesa watu!
 
I understand but huyo mtu ni nani? He is not a random citizen.
Niliwahi kuwa katika msafara wa Rais Mkapa kule kwao Lupaso sasa alitaka kwenda kumsalimia shangazi yake aliyekuwa anaugua nyumbani kwake. Kwa kuwa nyumbani kwa shangazi yake hakukuwa mbali kama mita 500 toka kwa Mkapa aliamua kwenda kwa mguu na akawaambia walinzi wake wasimfuate.

Kilichotokea walinzi walimgomea pamoja na kuwafokea kwa sauti kali hadi tuliokuwa mbali tukasikia. Alipokuwa anaenda bado walimfuatilia wakipita kwenye mikorosho hadi wakafika naye kwa shangazi yake na wakakaa nje wakimsubiri hadi alipomaliza mazungumzo na kurudi Ikulu ndogo.

Hivyo pamoja na kuwazuia wasimfuate lakini bado walimfuata.
 
Niliwahi kuwa katika msafara wa Rais Mkapa kule kwao Lupaso sasa alitaka kwenda kumsalimia shangazi yake aliyekuwa anaugua nyumbani kwake. Kwa kuwa nyumbani kwa shangazi yake hakukuwa mbali kama mita 500 toka kwa Mkapa aliamua kwenda kwa mguu na akawaambia walinzi wake wasimfuate.

Kilichotokea walinzi walimgomea pamoja na kuwafokea kwa sauti kali hadi tuliokuwa mbali tukasikia. Alipokuwa anaenda bado walimfuatilia wakipita kwenye mikorosho hadi wakafika naye kwa shangazi yake na wakakaa nje wakimsubiri hadi alipomaliza mazungumzo na kurudi Ikulu ndogo.

Hivyo pamoja na kuwazuia wasimfuate lakini bado walimfuata.

Good example but angewaambia police the same wangeendelea kumfuata?
 
Back
Top Bottom