Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Kuna Mawaziri wana tuhuma za Uchawi

Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Kuna Mawaziri wana tuhuma za Uchawi

Umenikumbusha habari ya majini kwamba yana amrishwa. Kila leo waarabu wanapigwa na Israel, hata siku moja sijasikia majini yameamrishwa kumpiga Israel!
Kwani waisrael hawayajui hayo mambo ??!!
 
"Natambua kuwa Binadamu tuna Kasoro zetu na hakuna aliyekamilika 100% ila jitahidi sana Kuishi Kimaadili na kutunza Kutunza Siri za Serikali na Heshimuni Taasisi hii ya Rais hata kama hamumpendi aliyeko" Rais Samia Suluhu Hassan

Chanzo: Gazeti la Nipashe la Leo

"Nawaomba tu kuanzia sasa zile Shutuma za Rushwa Ngono tusizisikie pia. Epukeni Ulevi, Majungu na hasa hasa Uchawi bali jikiteni katika Kumuamini Mwenyezi Mungu pekee na siyo kupenda Ushirikina ambao hauna nafasi katika Serikali yetu hii" Makamu wa Rais Dk. Philip Isidory Mpango

Chanzo: Gazeti la Habari Leo la Leo

Ukiwa tu Critical Thinker kwa Kauli hizi Mbili za hawa Waandamizi Wakuu Kikatiba Rais na Makamu wake utagundua kuna Mapungufu makubwa yanayohitaji Mjadala na kwamba huenda Serikali yao inahitaji Msaada mkubwa wa Kimaombi kwa Mwenyezi Mungu (Allah) kuliko zote zilizopita.

Haya JF Great Thinkers 'tiririkeni' sasa.

Hata Makamu mwenyewe atakuwa anatumia hiyo sayansi ya mababu zetu.Alikuwa anajikosha tu.
 
"Natambua kuwa Binadamu tuna Kasoro zetu na hakuna aliyekamilika 100% ila jitahidi sana Kuishi Kimaadili na kutunza Kutunza Siri za Serikali na Heshimuni Taasisi hii ya Rais hata kama hamumpendi aliyeko" Rais Samia Suluhu Hassan

Chanzo: Gazeti la Nipashe la Leo

"Nawaomba tu kuanzia sasa zile Shutuma za Rushwa Ngono tusizisikie pia. Epukeni Ulevi, Majungu na hasa hasa Uchawi bali jikiteni katika Kumuamini Mwenyezi Mungu pekee na siyo kupenda Ushirikina ambao hauna nafasi katika Serikali yetu hii" Makamu wa Rais Dk. Philip Isidory Mpango

Chanzo: Gazeti la Habari Leo la Leo

Ukiwa tu Critical Thinker kwa Kauli hizi Mbili za hawa Waandamizi Wakuu Kikatiba Rais na Makamu wake utagundua kuna Mapungufu makubwa yanayohitaji Mjadala na kwamba huenda Serikali yao inahitaji Msaada mkubwa wa Kimaombi kwa Mwenyezi Mungu (Allah) kuliko zote zilizopita.

Haya JF Great Thinkers 'tiririkeni' sasa.

KUMBE Serikali ina AMINI kuwa kuna UCHAWI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Anafundishwa na dada yake Mwamvita , mh January bila Mwamvita na mama yao ni mtupu kwenye Ndumba chocho zote za burundi, Congo , Nigeria , Ghana , usambaani Mwamvita ndio master
Dada mzuri vile anakuwaje mchawi hivo aisee
 
KUMBE Serikali ina AMINI kuwa kuna UCHAWI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app

Screenshot_20220115-002649_4.png

Na SHERIA kuhusu UCHAWI ipo! UCHAWI ni kosa la jinai!
 
Dada mzuri vile anakuwaje mchawi hivo aisee


Mtoto umeleavyo ndio akuavyo , Vodacom alivyopelekwa South Africa walifurahi sana alisumbua wenzie kwa Ndumba hili kila kitu afanye yeye na awe yeye juU
Huo uzuri ndio Wakununua kwa waganga
 
Back
Top Bottom