Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Kuna Mawaziri wana tuhuma za Uchawi

Umenikumbusha habari ya majini kwamba yana amrishwa. Kila leo waarabu wanapigwa na Israel, hata siku moja sijasikia majini yameamrishwa kumpiga Israel!
Kwani waisrael hawayajui hayo mambo ??!!
 
Hata Makamu mwenyewe atakuwa anatumia hiyo sayansi ya mababu zetu.Alikuwa anajikosha tu.
 
KUMBE Serikali ina AMINI kuwa kuna UCHAWI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Anafundishwa na dada yake Mwamvita , mh January bila Mwamvita na mama yao ni mtupu kwenye Ndumba chocho zote za burundi, Congo , Nigeria , Ghana , usambaani Mwamvita ndio master
Dada mzuri vile anakuwaje mchawi hivo aisee
 
Dada mzuri vile anakuwaje mchawi hivo aisee


Mtoto umeleavyo ndio akuavyo , Vodacom alivyopelekwa South Africa walifurahi sana alisumbua wenzie kwa Ndumba hili kila kitu afanye yeye na awe yeye juU
Huo uzuri ndio Wakununua kwa waganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…