Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Kuna maisha zaidi baada ya haya tunayoishi duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course, that's how they do! Kwa nafasi ambazo rais hana mamlaka ya kutimua, wanachofanya ni kuwataka/kuwalazimisha wahusika kujiuzuru!!!Now naamini abdallah possi hakujiuzuru kwa kupenda
Angetia mguu tu pale angeitwa home saa hiyohiyo! Na huenda alikuwa anatoa ripoti za kinachoendelea hosptalini kila baada ya dk 10 ili wawe wa kwanza kutangaza!Ina maana kumbe tuna balozi huko? mbona sikuzote hakwenda?
tena pindi chana huyu si mtu w asingida huyu na lissu si ndugu yake kabisa au ?
Safi sana Mama,utu kwanza siasa baadae.
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia umefika hospitalini hapa saa 11.43 jioni akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana.
Mwananchi lililokuwapo hospitalini hapo wakati Mama Samia, Balozi Chana na maofisa wengine wakiwasili hospitalini hapo.
Lissu amelazwa hospitalini hapo akiuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 aliposhambuliwa Septemba 7 akiwa nyumbani kwake, Area D mjini Dodoma.
Makamu wa Rais amefika hospitalini akiwa njiani kurudi Tanzania baada ya asubuhi kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Samia anakuwa kiongozi mkuu wa kwanza wa Serikali ya Tanzania kumtembelea Lissu hospitali tangu alipolazwa usiku wa Septemba 7.
View attachment 639832
View attachment 639833
Mpu.mba.vu mwingine wa kimataifa! Ushindi wa policcm unausifia? Tafuta kibarua kwa mhindi wewe acha kuishi kwa shemeji kugongea jero ya bando! Kwa taarifa yako hao mliowapachika hawana maajabu na wamwnuniwa kinoma huku mtaani na hawana furaha kabisa.sasa nikuchekeshe mdogo wangu! kule nyumbani tulicheza ka mechi cha netiboli majuzi,, kuna wachovu fulani tumewapiga 42 kwa 1, can you believe it?!
Unataka picha ganiweka picha ili tuamini
Hajui kufunika kombe.Mkuu hivi unafikiri angefika Kenya akarudi bila kumuona Lissu dunia si ndio ingesahihisha yale majibu iliyoyapigia mistari kabisa?
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini hapa.
Msafara wa Samia umefika hospitalini hapa saa 11.43 jioni akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana.
Mwananchi lililokuwapo hospitalini hapo wakati Mama Samia, Balozi Chana na maofisa wengine wakiwasili hospitalini hapo.
Lissu amelazwa hospitalini hapo akiuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 aliposhambuliwa Septemba 7 akiwa nyumbani kwake, Area D mjini Dodoma.
Makamu wa Rais amefika hospitalini akiwa njiani kurudi Tanzania baada ya asubuhi kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Samia anakuwa kiongozi mkuu wa kwanza wa Serikali ya Tanzania kumtembelea Lissu hospitali tangu alipolazwa usiku wa Septemba 7.
View attachment 639832
View attachment 639833
Video na picha zimehaririwa sana. Kwa mfano sehemu alipotaka kumkumbatia wakapakata fasta.