Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli mpk naogopaWatu wana hela mtani sio poa
Mtani tabaka ni kubwa sana kati ya masikini na tajiri ila nimejifunza kitu kimoja utajiri hautaki hofu au woga lazima uwe jasiri wa kupindukia ili u handle stress za utajiri vizuriKwakweli mpk naogopa
Umeona ehhMtani tabaka ni kubwa sana kati ya masikini na tajiri ila nimejifunza kitu kimoja utajiri hautaki hofu au woga lazima uwe jasiri wa kupindukia ili u handle stress za utajiri vizuri
Hahaaaaaa kwanini mkuu?Hii kamba mimi binafsi nimeamua kuiruka.
Aiseeeee. Bifu kwa bifu. Hii ndio ile ya jino kwa jinoNiambie nani unayemjua ambaye hakupona ila akasema amepona?
Yeah sure...utajiri mkubwa hauitaji roho ndogo ngoja mm nilidhike na vyanguMtani tabaka ni kubwa sana kati ya masikini na tajiri ila nimejifunza kitu kimoja utajiri hautaki hofu au woga lazima uwe jasiri wa kupindukia ili u handle stress za utajiri vizuri
Point muhimu...[SIZE=7]Washikaji, tutafute upako ili tutoboe[/SIZE]
KUna mchizi wangu yuko mkoani halafu wilayani ndanindani ila kuna ka population ameanzisha kanisa kimtindo kwa wastani kila jumapili anafunga 2m,,,,wakati wa sikukuu ya mavuno raia wanamletea mifugo ya kutosha nafaka za kila aina jamaa kajenga nyumba ya heshima na ana malori kwa ajili ya dili tofautitofautiDogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.
Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.
Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Nina kuzoooomKUna mchizi wangu yuko mkoani halafu wilayani ndanindani ila kuna ka population ameanzisha kanisa kimtindo kwa wastani kila jumapili anafunga 2m,,,,wakati wa sikukuu ya mavuno raia wanamletea mifugo ya kutosha nafaka za kila aina jamaa kajenga nyumba ya heshima na ana malori kwa ajili ya dili tofautitofauti
Usiridhike mtani utajiri ni mtamu bana 🤣Yeah sure...utajiri mkubwa hauitaji roho ndogo ngoja mm nilidhike na vyangu
Ndio😊Kwa hiyo umezipeleka hizo hips zako nono kule.
kwani waumini wanatoa $$$ ngapi kila misa??inawezekana jamaa ana waumini wenye hela sana.Pesa za waumini hizo. Halafu unakuta muumini hana hata nyumba au eneo
Huyo mjamaa anahubiri hadi South pamoja na pastor Uebert Angel .kwani waumini wanatoa $$$ ngapi kila misa??inawezekana jamaa ana waumini wenye hela sana.
sawa,yaani anapewa sadaka shingapi kwa misa moja.Huyo mjamaa anahubiri hadi South pamoja na pastor Uebert Angel .
Daaah 🙆♂️😋Ndio😊
Sawa kila mtu anamtazamo wake. Halafu misa zake zinakuwa na watu wengi kutoka mataifa mbalimbali na pia pengine ana biashara zake anazozifanya.sawa,yaani anapewa sadaka shingapi kwa misa moja.
mimi mwenyewe nikitaka kusema ni sadaka akili zinaniambia hapana,sadaka sio nyepesi namna hiyo.
Ukitaka uje tuu wenyewe uflow sio nihangaike mpk kutoa kafara sijui kuuza ngada sijui kutakatisha..hapanaUsiridhike mtani utajiri ni mtamu bana 🤣
hapo kwenye biashara zake hapo ndipo kuna point ya kuzingatia.Sawa kila mtu anamtazamo wake. Halafu misa zake zinakuwa na watu wengi kutoka mataifa mbalimbali na pia pengine ana biashara zake anazozifanya.