Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha kama ndio hivyo basi limbwata is real, mafao yameisha au umebakiza kidogo?Bwana wee, limbwata lipo na linafanya kazi. Nilipata mafao, nikajikuta Niko Kivu, DRC
Mafao kwishneyHahahaha kama ndio hivyo basi limbwata is real, mafao yameisha au umebakiza kidogo?
Ukijua kesema na kupiga sound tu, pesa za wazungu na waumini hasa wa jf utazikumba. Wakiristo hapa mumezidiwa akiliFungua na wewe uone kama utapata hata mtu na nusu
Umenifanya nicheke sana Daah, hujabakiza hata chenjiMafao kwishney
Bepari la Kihaya, lina makazi yake MbweniMtalemwa Bushiri ni mdogo wangu!! Ana pesa chafu saaana
Akili za Zombie S2KIZZYChai.
Huyo kwenye picha ndio wewe? Umefanana na Wakuvanga wa Ze Comedy 😃Akili za Zombie S2KIZZY
Asante sanaHuyo kwenye picha ndio wewe? Umefanana na Wakuvanga wa Ze Comedy 😃
kama ni rahisi hivyo kupga hela anzsha kanisa na ww kama ingekuwa ni rahisi hivyo vjana wasiokuwa na ajira wangekuwa na makanisa kama yote. Punguza ujingaPesa za waumini hizo. Halafu unakuta muumini hana hata nyumba au eneo
na ww ifanye tuone kama utapata hata mil 1 kwa mwezi.Wameifanya dini kuwa biashara ilipayo
kama unaoushahidi tunauomba hapa hv utumishi wa kweli ni kuwa kapuku YESU mwnyw alikuwa anakula na madoni tu wa fatilia mishe zake MUNGU WA MBINGUNI SI MASKINI MAANA YEYE NDIYE HUTUPAYE NGUVU ZA UTAJIRI.Hizo hela hazijtoka Kanisani, zimetoka kwa wenyewe wanaopinga Ukristo, zinapitia Kanisan kwa Malengo ya kuutweza Ukristo, Mungu saidia watumishi wa kweli waendelee kufanikiwa
na wewe jaribu kufanya ukute upo hapo ni kapuku mpk kwny nywele halafu unajua namna ya kupga hela kiulaini eti hutaki we mwehu wewe. Unaongea kumsema jamaa na kumuona anastahili hukumu wkt wewe ni mzinzi, mtukanaji, mfiraji, muongo nk yako huyaoni punguza wivu.Biashara ya Dini inalipa kinoma,
Ndo maana ROMAN CATHOLIC wanapesa kuliko Serikali yoyote Ile duniani
Roman Catholic wanamiliki Robo ya kipande Cha ardhi yote ya hii dunia
mbona ww ni kapuku huna mbele wala nyuma na unajua namna ya kupata hela kiulaini.Yanalipa sana mtaji ni
-maneno mengi vifungu kidogo
-wadada na wamama ukifanikiwa kuwanasa umemaliza kazi
-sauti ya kukoroma "jiyoni yea leo" (in upako voice)
Fungua masjid na wewe mkuu uwe Imamu kama Sharifu Majini upige pesa na kufanya biashara ya dini.Sikuhizi Dini ni Biashara ujue tu jinsi ya kuzichanga karata
kama ulivyo uislam ni biashara tu ya waarabu.Sikuhizi Dini ni Biashara ujue tu jinsi ya kuzichanga karata