Sadaka zinafanya kazi makanisa ya mabati tu yale ya Tabata Upogoroni na Kimara bonyokwa labda😂,,, kwa hawa wenye Ministries za kishua kina Kapola na Dale wana deal na mambo mazito zaidi.Pesa ndefu sana napata mashaka kama ni sadaka tu zimempa ukwasi wote huo.
Dah Sasa hio naona inachukua mda Hadi mtu akuzoee na achilia mbali hilo kua nae karibu utamuonea wapi mtu Yuko angani anaonekana kwa nadra, naona Bora awepo mtu "maalum" wa kurahisisha kwa wanaotaka kuingia "sirini"Wanasema ongea na watu uweze kuvaa viatu; jenga urafiki wa karibu na hao watoa huduma.
Mtu anatoa Sadaka ya million 400 yeye anaingiza pesa kiasi gani? Pesa haijawahi kuwa rahisi hivyoNamjua mtu ambaye ni partner wa kapola, wanajiita "the osborns"
wanatoa sadaka zao tofauti na zile za kanisani
aliniambia kuna partner aliwahi kutoa 400M kama shukrani
hapo bado kuna wafanyabiashara wakubwa wanatoa fungu la kumi
na fungu la kumi ni halali ya mchungaji 100%
Kapola anamweka Nipher mjini kwa mshahara wa mbususured flag mdada kudata kwa kina kapola.
Hao waumini hawafiki hata 200 halafu vijana vijana kibao ambao ni ngumu kuniaminisha wanaweza toa sadaka za million 100/100Waumini gani hao wenye kuweza kuchanga hio b3 ingekuwa wakatoliki sawa
Kanisa linataka uwe na network ya Mafia Cartels wawe wanapitishia mambo yao kupitia kwako kisha unamega jala in percentage.Tufungue makanisa mkuu
Tutapiga ela nzuri sana
Sasa kwanini uko hapa mkuu na akina sisi hohehahe , hutaki utajiri? Naomba niunganisha nae basi
100%Kabisaaa. Hiz ni cover pages tu za "mane londarin"😂
Iko hivyo.Wanatakatisha sana pesa
Ndiyo"Biashara zao za Siri"🤔
Mifumo ya TZ iko makini na inajua kila kitu sema tatizo rushwa.Spot on. Hawa watu wana siri nyingi sana sema tu mifumo yetu nayo ni mibovu kwa kujaa rushwa sana.
Hakika kama mifumo yetu ingekuwa makini hawa watu wangekuwa wanaumbuliwa mchana kweupe na kuishia gerezani.
King of the JungleHuyo angel ndio mwenye "konekshen" Sasa ..
Dah Sasa hio naona inachukua mda Hadi mtu akuzoee na achilia mbali hilo kua nae karibu utamuonea wapi mtu Yuko angani anaonekana kwa nadra, naona Bora awepo mtu "maalum" wa kurahisisha kwa wanaotaka kuingia "sirini"
Hayo mambo ndio yapi hayo mkuu namimi nifungue kanisa.Sadaka zinafanya kazi makanisa ya mabati tu yale ya Tabata Upogoroni na Kimara bonyokwa labda😂,,, kwa hawa wenye Ministries za kishua kina Kapola na Dale wana deal na mambo mazito zaidi.
So unakwenda kuanzisha kusanyiko la kupiga hela mtaa gani?Leo nimepata Kadi yangu ya chama cha majizi
Money Day AvenueSo unakwenda kuanzisha kusanyiko la kupiga hela mtaa gani?
Kanisa ni project yake binafsisadaka za waumini zimemuwezesha kununua eneo ili ajenge kanisa, sio ili ajenge nyumba au mradi wake. Shida iko wapi?
Shida ipo hivi.....sadaka za waumini zimemuwezesha kununua eneo ili ajenge kanisa, sio ili ajenge nyumba au mradi wake. Shida iko wapi?