King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wenye kujielewa wanachomoka, mimi mwenyewe sioni kama nitakaa humu, though nimeanza kujitafuta kwenye biashara nikiwa humu, mambo yakijipa nawaachia wengine gurudumu.
Jamn usiache kazi wengine tunatamani serikaliniWenye kujielewa wanachomoka, mimi mwenyewe sioni kama nitakaa humu, though nimeanza kujitafuta kwenye biashara nikiwa humu, mambo yakijipa nawaachia wengine gurudumu.
wapumbavu waliongezea ajira mpya tu, ila ukipanda daraja mnakuwa sawa na wale ambao walianza na D planeNdio, walimu wa science wanawazidi walimu wa art kama 50,000/= waliweka hii kama promotion kwa walimu wa science, walimu wa art inasoma hiyo uliyoandika hapo, lakini wa sciencee tulianza na 822k, nimeajiriwa 2022 kwa physics naelewa nachosema...
Wafanyakazi wa halmashauri woote njaa kali tu hakuna mwenye uafadhali,
Hata sisi pia tulitamani, ukishaingia huku utaelewa, uzuri wa huku ni mikopo basi.Jamn usiache kazi wengine tunatamani serikalini
Ooh naona utofauti wa kama 50,000/= kwa hiyo baada ya kupandisha woote watakua E1? Je utofauti wa 50,000 utakuaje? Au wa art wataongezewa?wapumbavu waliongezea ajira mpya tu, ila ukipanda daraja mnakuwa sawa na wale ambao walianza na D plane
Watoto wa masikinj ndo kimbilio letu bahati mbaya sikusoma ualimuHata sisi pia tulitamani, ukishaingia huku utaelewa, uzuri wa huku ni mikopo basi.
Yeah ni kweli, ualimu diploma ada laki 6 na chakula humohumo, lakini nursing ada ni million 3, wewe ungekimbilia wapi?Watoto wa masikinj ndo kimbilio letu bahati mbaya sikusoma ualimu
Tumeridhika saanaWalimu rizikeni na mishahara yenu
Ahaahha daahYeah ni kweli, ualimu diploma ada laki 6 na chakula humohumo, lakini nursing ada ni million 3, wewe ungekimbilia wapi?
Watoto wa kimaskini wengi walisoma ualimu licha ya kufaulu vizuri.Ahaahha daah
Ila bado ni kundi la walimu Lote ndo linaonekana bado ninmshahara mdogo Mkuu..Ndio, walimu wa science wanawazidi walimu wa art kama 50,000/= waliweka hii kama promotion kwa walimu wa science, walimu wa art inasoma hiyo uliyoandika hapo, lakini wa sciencee tulianza na 822k, nimeajiriwa 2022 kwa physics naelewa nachosema...
Wafanyakazi wa halmashauri woote njaa kali tu hakuna mwenye uafadhali,
Niletee salary slip ya Afisa ugani mwenye degree anayelipwa hiyo 585,000Zipo clear na ukitaka Nikupe Taarifa niambie unaona ipi imedanganywa na nitakuja Hadharani kusema ni uongo
πππππππLaki tatu mganga anaipiga chap sana πππ
Kupigiwa ramli tu elfu 50 dadeki zenu.... na mnatoa bila kuhoji.
Ni bora niwe mganga wa kienyeji kuliko kuwa mwalimu, ni UJINGA na UPUMBAFU.
Mwezi mzima unapokea Raki tatu, alaaah!!! Kwanini wasiache kazi hata wakalime? Mimi ningeenda kulima.
Mikundu juu kumbe wanalipwa mshahara kama wa Housegirl!! SHUBAMIIT
Hapana simshauri aitume full kwa sababu Kuna Utambulisho wake wa kiutumishi utakuwa umefahamika kama ataweza azibe sehemu zile za utambulisho ndo atumeITUME FULL,, NDUGU.
Afisa utumishi,utamaduni, mhasibu, mchumi na zingine zoote wanaanza na D ambayo ni laki 7, kwa halmashauri katibu wa afya anaanza na E, na engineering anaanza na E au F.Ila bado ni kundi la walimu Lote ndo linaonekana bado ninmshahara mdogo Mkuu..
Kwa sababu Kama mwalimu wa Science aliyesoma Kwa shida madude magumu unampa D4..
Huuku Afisa utumishi unampa TGS D1 au TGS E ambayo 900k huoni kama ni uonevu??