Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Ngoja niendelee kupenda kibarua changu, maana sijaona bado anaenifikia ingawa bado na malupu lupu pemben yapo.
 
Ila bado ni kundi la walimu Lote ndo linaonekana bado ninmshahara mdogo Mkuu..
Kwa sababu Kama mwalimu wa Science aliyesoma Kwa shida madude magumu unampa D4..

Huuku Afisa utumishi unampa TGS D1 au TGS E ambayo 900k huoni kama ni uonevu??
Alafu hakuna variation yoyote ya maisha kwa mtu kukuzidi mshahara wa laki 2, ndio maana ninasema halmashauri ni mulemule tu, kikubwa ni kufikiria nje ya box, kuingiza hata faida ya laki 5 tu kwenye biashara ndio ponapona, maana hakuna mfanyakazi ambaye hajakopa, na sidhani kama mtu anaweza kufanya maendeleo bila kukopa.
 
Ooh naona utofauti wa kama 50,000/= kwa hiyo baada ya kupandisha woote watakua E1? Je utofauti wa 50,000 utakuaje? Au wa art wataongezewa?
ukipanda cheo unaenda kuanza mwanzo cheo kipya, maana yake hao ulio wazidi basic salary utapandanao cheo kipya pamoja na ndo inakuwa mwisho wa iyo tofauti.
 
Huyo ndugu anajua yeye huko anakotoa Taarifa za uongo
Hakuna Uongo hata mmoja niliotoa Nimeshaeleweshwa na Prakatatumba kwamba wao as Walimu wa Sayansi waliongezwa as per Increment 4 kwahyo walianza na D4..

Ila mshahara wa Mwalimu wa Bachelor ni TGTS D ila wao wa sayansi walilipwa TGTS D4 ambayo ni sawa na Tsh 822 na nimepost viwango pia unaweza ukaangalia
 
Waalimu walioajiriwa mwaka jana wenye degree basic yao ni 822k, na take home ni 676k
Wenye diploma basic 616k take home kwenye 520k
Hayo unaowataja ni sayansi ambao.wamepandishwa increments??

MWalimu wa Diploma Ni TGTS C mkuu labda kama na wewe utuambie ni sayansi kwahyo alipandishwa 3 increments nitakuelwa..
Iwe ni TGTS C3
Mwalimu wa Diploma ni TGTS C1 na Certificate ni TGTS B ambayo ni 479..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…