Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Wachagah wanafanya sana biashara haramu🤣🤣Usimuelezee sana mtu usiyemjua.
Watu tumefahamiana tu mjini hapa,hakuna anayemjua mwenzake kiundani.
Lakini pia,siasa yenyewe ni biashara inayolipa vizuri tu.
Kwann hakafunguliwi kabisa au katakuwa kamejaa 💸💸💸 😄Humo utakuta kuna kachumba hakafunguliwagi Kabisa 😂😂😂
CAG amewahi kuainisha wizi wa ruzuku ya Chadema kwenye ripoti zake?Mbowe ameiba ruzuku ya chama, na ruzuku ni mali ya uma kodi zetu hizo
Hukuiona rangi yake?Watoto wa machame et wanaita white house
Kilimanjaro hasa vijijin fahari ya watu Huwa ni makazi,no wonder Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa makazi bora vijijinKitendo cha kujenga kijijini alipozaliwa ni Ishara kwamba tulipozaliwa ni muhimu kuliko tulipokulia au tunapigia mishemishe.
Wote tungejenga makwetu na kupaendeleza leo tusingekuwa na vijiji tungekuwa na mitaa nchi nzima
Wapo viongozi hapa nchini hata nyumba ya kawaida tu kwao hawana. Mawaziri wengi vijijini kwao hakuna nyumba, wabunge ndo usiseme bila kusahau makatibu wakuu na wakurugenzi .
Tungekuwa na sera yakujenga vijijini hata umeme na maji, barabara na huduma za afya isingekuwa shida
Ile nyumba ya Mbowe haikosi umeme, maji yapo, hospital lazima ipo karibu nk
Ila vyote hivyo vimepelekwa kwa sababu watu wamewekeza
Sisi watu wa kanda ya ziwa tutaendelea kulalamika ila ukweli lazima tukubali vijijini tulipotoka.......JPM alifanya kile mwanasiasa anapaswa kufanya kwao......let us think about our home villages
Ana hela kabla hâta chadema haijazaliwa,sio maskini kama wwRuzuku ya chadema inaishia machame
Usalama akanyanganywa na club bilcanas? Usalama akapewa na kesi ya ugaidi?Mbowe ni usalama wa taifa wa miaka mingi. Mzee wake ni mmoja wa watu wa mfumo tangu miaka hiyo akiwa bado yupo hai.
Hii picha inahusianaje na stori ya Masanja?Picha ya huu mjengo ndo umefanya Masanja sasa hivi analilia ndani ya blanketi, Watu wana maneno bwana, Et ndg wa marehemu katibu wakachukue damu yao..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna Akili,sifa kuu ya watu WA Kilimanjaro ni kujenga makazi ya kisasa kwaoKatika mikoa isiyojielewa Tanzania hii mmojawapo ni mkoa wa Kilimanjaro
Wabunge wao wote na viongozi wa juu Chadema akiwemo, Mbowe na MREMA makazi yao ya kudumu yako Dar
Kule huwa wanaenda tu kulaggai wachaga wapate mlo Dar kwenye makazi yao ya kudumu
Lisu ,Mbatia pia hivyo hivvyo hulaghai kwao wawape kura ili wakishinda wale bata Dar essalaam ambaki ndiko wana makazi ya kudumu
Wanaacha kuwapa kura wakaa kudumu Kwao wanawapa mikazi ya kudumu ya Dares salaam
Maskini katika uboraWachagah wanafanya sana biashara haramu[emoji1787][emoji1787]
Wanaugulia rohoni[emoji1]
Sio maskini kama wwKumbe zile kesi tunazoambiwa tumchangie hela ya wakili zinalipa sana?
Hayo yako tajiriiii🤣🤣Maskini katika ubora
Atakuaje maskini wakati kila akiomba michango anapata million 600+Sio maskini kama ww
Hii picha inahusianaje na stori ya Masanja?
Chuki zilizomfanya apoteze yote hayo ziliishia wapi?. Kutoka jela leo kesho ukaenda ikulu ni ishara kwamba mfumo unakufahamu vyema na yeye ni sehemu ya viongozi japo sio wa moja kwa moja.Usalama akanyanganywa na club bilcanas? Usalama akapewa na kesi ya ugaidi?