Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Ndio hiyo waliua 1200 Octoba 7, mwaka jana, wameshakufa 42,000 so sad waliosababisha Hili. Na vita nzuri kusikia kwa jirani tu isikufikie
Nyie ndio wale baba amekufa linakuja jamaa kumchukua mama ako linakaa nae nyumba aliijenga babaako kwakua ni li askari magereza wewe unaliacha unalipa na funguo za gari ya babako kwa uoga
 
Sehemu yoyote ambako kutatokea mlipoko lazima watu wa afya wawepo.
Benja sio mjinga namna hio mpk akae nyumbani kwake kwenye nyumba binafsi na sio ikulu.
Yani Samia aache kukaa sehemu salama akaake nyumbani kwake.
Anafikiri serikali ya Israel ni sawa na serikali ya CCM, na sio mlipuko tu incident yyte hata kama ni ndogo.
 
Huo utopolo wa US ni mavi tu kwa Hezbollah na Iran wanawaoneaga Gaza tu kwa sababu wanatumia mawe
Kichapo anachokula hezbullah utashukuru kile cha Iran
Hawana supply ya fedha wala silaha na kwa ujumla wanapumulia mashine.Wengi wao wanajisalimisha kwa sasa
 

Kwa hiyo Daudi kwenda kupambana na Goliath ilikuwa ni ujinga?

Vipi upinzani kupambana na CCM?

Au vipi vita vyovyote vilivyopiganwa dhidi ukoloni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…