Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel anaishi na binadamu kwa kadiri unavyoishi nae, kifupi ukimtendea mema atakulipa mema na kinyume chake, ukiua mmoja ataua wako 1,000Wale wako pembeni hawapati athari ya moja kwa moja na huyo msabato huwezi kumwambia mtu wa gaza ambae mizaituni yake inachomwa kila wanapojiskia akae mbali hio itakua ni akili kweli
Sehemu yoyote ambako kutatokea mlipoko lazima watu wa afya wawepo.Wanasema hakuna casualty,lakini ambulance ilionekana hapo
Vice versa is trueIsrael anaishi na binadamu kwa kadiri unavyoishi nae, kifupi ukimtendea mema atakulipa mema na kinyume chake, ukiua mmoja ataua wako 1,000
Mkuu air defense system ni ngumu kuweka Kila sehemu. Kwanza utawekeaje nchi mzima.THAAD ilikuwa wapi haijazibiti hiyo drone
Inawezekana wanasend meseji kwamba uwezo wao umeishia hapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila siku " they sent a message" huku wanarambishwa mchanga.
Labda waliambiwa anafua uwani 🤣🤣🤣🤣Hezbollah ni vichaa si bure, sasa netanyau ashinde nyumbani amekua beki 3
Vipi we ndio mke wake Nini maana inaonesha unajua Siri zote za chumbani kwa NetanyahuHakuna jipya maana netanyahu haishi hapo tena.........
Wake zake wote lazima muwe na taarifa muhimu kumuhusu mume wenu.Beirut itawaka very soon.
Kuuliwa kwa Netanyahu si leo au kesho, ila yeye najua lazima amuue Ayatollah
So ATAKUWA AMEKUFA??? 🤣🤣🤣Asubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa israel huko caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya israel,drone hiyo ikionekana kupita nyuma ya apache helicopter za israel
IDF imezuwia habari zozote toka makazi hayo,japo ambulance imeonekana hapo
Mashuhuda wanasema mlipuko ulikua mkubwa
Drone launched at Netanyahu home in northern Israel, spokesman says
By Reuters
October 19, 202410:21 AM GMT+3Updated 19 min ago
JERUSALEM, Oct 19 (Reuters) - A drone was launched towards Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu's home in the northern Israeli town of Caesarea on Saturday, his spokesman said, adding that the premier was not in the vicinity and there were no casualties.
Earlier, the Israeli military said that a drone was launched from Lebanon
Mbona kama umepaniki? Basi tusherehekee Tumemuua Netanyau......🤣🤣🤣🤣🤣Vipi we ndio mke wake Nini maana inaonesha unajua Siri zote za chumbani kwa Netanyahu
Sure, bila hiyo suluhu hapa amani haitapatikana.Solution ya hapo ni Israel na Palestina wawe Taifa moja,kitu ambacho USA hakitaki ili aendelee kutengeneza migogoro hapo afaifike kimasilahi.
Wake zake wote lazima muwe na taarifa muhimu kumuhusu mume wenu.