Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics


Mkuu na Wewe ni mdau wa hiki kitu?!!
 
Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio mara baada ya taarifa kuonesha kwamba kila mwezi ndani ya jiji la Dar es Salaam takribani ndoa 300 zinavunjika.

"Kumekuwa na mahusiano mapya (Kwa wanandoa) yanayopelekea wakati mwingine kuomba kuwa na mahusiano kinyume na maumbile hicho kimekuwa ni moja ya kitu ambacho kimekuwa kikivuruga ndoa nyingi na watu mwisho kuachana, tuachane na hizo tabia tunazozi-copy na tuishi maisha yanayompendeza Mungu,"amesema Joyce

====

Haya yanajiri baada ya kamati ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kutoa ripoti Septemba 5, 2022 iliyoelezea kuwa mkoa wa Dar es salaam unaongoza kwa uvunjifu wa ndoa nyingi nchini ambapo wastani wa ndoa 300 huvunjika kila mwezi.

Kamati hiyo ilibaini pia kuwepo kwa mmomonyoko mkubwa wa maadili na ukatili mkubwa wa kijinsia hasa ule unaohusisha watoto.

EATV
Tuanze na yeye Joyce

Je! Amewahi kuombwa Ndogo?

Je! Joyce umewahi kuliwa Ndogo?

Ukiona mtu especially mwanamke simple simple tu analizungumzia Jambo km hilo muangalie mara mbili Kisha muulize weeewe Je! Umewahi kuachia nyuma ukapumuliwa?

Mimi siamini kwamba hio ndio sababu kuu maana sababu kuuubwa zipo na anazijua ila ameamua tu kugusia hilo Jambo maaana linaonekana na jamii km taboo
 
Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio mara baada ya taarifa kuonesha kwamba kila mwezi ndani ya jiji la Dar es Salaam takribani ndoa 300 zinavunjika.

"Kumekuwa na mahusiano mapya (Kwa wanandoa) yanayopelekea wakati mwingine kuomba kuwa na mahusiano kinyume na maumbile hicho kimekuwa ni moja ya kitu ambacho kimekuwa kikivuruga ndoa nyingi na watu mwisho kuachana, tuachane na hizo tabia tunazozi-copy na tuishi maisha yanayompendeza Mungu," amesema Joyce
Umewahi kumbwa Ndogo ?
Miss Zomboko sio una-bold maandishi tu
 
mwanamke anayejitambua, hasa mke, hata ukiweka kidole tu kwenye tigo anasikilizia, unakiingiza au kinasugua tu pale juu, ukiingiza dole mechi inaweza kuishia hapohapo....ila ukigusa tu au kutekenya kwenye tuta hapo ni poa, kwasababu kikawaida, pale kwenye ukuta kati ya O na Vagina, kuna misuli ya hisia kwa wanawake ambayo ukichakata sana huko mbele huku ukitekenya clitoris na occasionally kutekenya pale kwenye tuta, huwa inapelekea wajisikie vizuri, ila sio kuingiza dole hapana huo ni usodoma ni pale juu tu na katikati ya tuta. au mnasemaje wanawake?

Ukishamaliza kuvuka hilo tuta kifuatacho ni nini?!!, lazima tuwe serious 😏
 
Wadada wakitaka kukinukisha na kuvunja ndoa hawatumii nguvu

Anatoa lalamiko tu ukweni "nalazimishwa kuingiliwa kinyume na maumbile"

Na ndoa inavunjwa chap
Yaani haya mambo bhana!!;; Wanaume tujikubali na tutafute namna nyingne ya kujiburudisha pale mambo yanapoenda mrama kwenye ndoa na siyo kupambana kupata haki zetu kwa Hawa viumbe... Haiwezekani tena kushindana nao!
 
Mwanamke akikupenda Hana uwezo WA kukunyima chochote kile
Ndio mkuu wewe umeooOna mbaaali km kawaida yako, wanasema

when a woooooman LOVE she looooves for reeeeal..

Akikupenda mwanamke bwaaana we anakupa matunda yooote unayoyataka na unayoyapenda yaan wewe chochote sema anakupa ni wewe tu hata ukimwambia leo twendee Mwembe Bamia ila saaaaasa km hakupeeeeeeendi ndugu utakiona kisanga yaaaaani hio Pa Pu Chi tu uliyoilipia Mahari ya mamillion kupewa uichakate tu vibweeeeeeka visa haviishi

Sababu za kuachana zipo nyingi aulize vizuri ataelezwa alafu asiegemee upande mmoja aeleze na sababu zilizotolewa na upande wa pili wao wanasema sababu haswa ni nini?
 
Mm nijua anasema wengi wanatoka nje ya ndoa wanaonja tigo, anaona ndoa haina maana wanafuata tigo, tigo sio sbb kabisa ya ndoa kuvunjika, huenda inaimarisha ndoa ikifanywa vizuri kwa maandalizi mazuri. Alafu watu walikuwa wanafanya hii starehe tokea enzi na ndoa hazikuvunjika..

Mm nadhani angesema Utandawazi, pia wanaume na wanawake wa kileo utii au heshima ndogo sana kwenye ndoa. Ila wala msisingizie tigo, najua huu ujumbe mafirauni yatanipa like nyingi sana.
goroko77 😆 😆
 
Umenikumbusha kisa fulani,
It worked to my cousin hadi leo yule Mume hawezi kuchangamana na familia anahisi aibu kubwa na jambo alisingiziwa ila hana pa kusemea, tunaojua ni wachache tunabaki kumuonea huruma tu[emoji1751]
Alisingiziwa analiwa Ndogo au?
 
nilikua kwenye hafla, miaka 2 nyuma
ghafla nasikia "drake, drake, kanunue pampas za wakubwa haraka sana..."
ikanitoka like 20k ivi chap
bi mdada in her early 40s baada ya kula, mavi chumba kizima, Fecal incontinence
wala hakua 'mahututi'
Yaaani ilikuaje mkuu emu funguka hapo umefunikafunika

Bibi wa miaka 40 aliliwa 0713 5457** akamwaga kinyesi au?
🥺
 
Hi ni kati ya sababu ndogo na dhaifu sana. Leo hii wanawake wasiotoa nyuma ni wa kutafuta kwa tochi, labda kwa ndoa zilizofungwa miaka mingi iliyopita hapo sawa. Kwamba leo hii baadhi ya wanaume wameonjeshwa ubaradhuli huu wakakolea hivyo kulazimisha kupatiwa huduma hiyo na wake zao.

Sababu kubwa kabisa leo hii ni kuingia kwenye ndoa kwa malengo tofauti na kusudi la ndoa. Hii ndio inapelekea wengi kuiona ndoa kama jehanamu. Watu wana picha ya ndoa za bongo muvi afu wakiingia wanakutana na uhalisia wa kushangaza. Hii tume iliwahoji wanawake waliotalikiwa nao wakatema sumu ili kuhalalisha kuachwa kwao.
 
Mm nijua anasema wengi wanatoka nje ya ndoa wanaonja tigo, anaona ndoa haina maana wanafuata tigo, tigo sio sbb kabisa ya ndoa kuvunjika, huenda inaimarisha ndoa ikifanywa vizuri kwa maandalizi mazuri. Alafu watu walikuwa wanafanya hii starehe tokea enzi na ndoa hazikuvunjika..

Mm nadhani angesema Utandawazi, pia wanaume na wanawake wa kileo utii au heshima ndogo sana kwenye ndoa. Ila wala msisingizie tigo, najua huu ujumbe mafirauni yatanipa like nyingi sana.
Maandalizi gani wew kupakana nyaaaa tuuu
 
Amesema "miongoni mwa sababu" inamaanisha sio sababu pekee.

Utafiti wake unakosa kitu kimoja,Wanawake wengi wakitaka kuvunja ndoa zao wanasingizia kwamba wameombwa unyumba huko kwenye hio njia.Hii nimeshuhdia kwa watu wangu wa karibu.Unakuta mwanamke anatafuta kisa ambacho shahidi atakuwa ni yeye mwenyewe na anajua akisema tu hivyo anakuwa amekufedhehesha so unajikuta huna namna zaidi ya kukosa nguvu.
Na hiyo mbaya lazima ufedheheke.
 
Huu utafiti ulifanywa kwa kwenda kuuliza wale wanaojipanga barabarani kwamba asilimia kubwa ya wateja wao wanataka mapenzi kwa njia gani huyo msoma matokeo kwa sababu ni “ FEMINIST” akageuza matokeo kuyafanya ya kiuanaharakati.

Kwamba baba zetu na babu zetu walikuwa hawayaoni makalio ya mama zetu na Bibi zetu wakayatamani?au wa siku hizi tu ndo wanajiona wameumbika sana!?au wao walikuwa wanakubali?ndo maana wao walidumu ktk ndoa?tupo na kizazi cha hovyo tu kinatapatapa kutafuta pa kuficha tabia zao chafu kinakuja na tafiti zisizo na kichwa wala miguu
Hapa umesema ukweli

Mimi nikiri tu kweli nimewahi kununua hawa dada zetu kuna mmoja nilimmezea mate tako kubwa mtoto chuchu dede uzalendo ukanishinda nikaenda kumchaka somewhere ila kwanza tukakubariana package akasema yeye hata nimpe nini hatoi nyuma

Game likaanza nimemuweka mkasi nimesukumia moto ikafika hatua sasa chuma ikateleza ikachomokea nje ile kutaka utamu usiishe si nikataka niiichomeke ndani kwa haraka weeee dada akanigusa kifua ananirudisha nyuma 'baby sio huuko.. unataka kufanya nini,?'

Nikamuacha aiiingize mwenyewe kwenye tundu analolitaka..

Kwa hio yaweza ikawa ni kweli wameenda kuwauliza hao wanauza chini ndio wakawapa takwimu zao hizo
 
Back
Top Bottom