Ingekuwa na maana kama viongozi wangekuwa wanakaa muda mrefu katika hizo nyumba, kuna viongozi wanabadilishwa hata mwaka haujaisha.Nyumba akihama kiongozi huwa zinakarabatiwa kwanza kabla ya mwingine kuingia, Rangi na Furniture ni kawaida sana
Ukarabati wa nini wakati viongozi wanabadilishwa hata hawamalizi miaka mitano??Tuache kukurupuka!! Nyumba ya Mkuu wa Mkoa ilikua inakaliwa na mtangulizi wake hvyo ni lazima mtangulizi wake aondoke kwanza na ukarabati ufanyike ndipo ahamie. Halaf mlitaka akakae kwenye lodge ya elf50 acheni zenu bana
Nyumba yafanyiwa usafi ikiwemo fumigation.Kwa hali hii, tutafika?
Anaandika Martin Maranja Masese kwenye Mtandao wa X
Rais Samia Suluhu Hassan, inawezekanaje BASHITE tangu amefika Arusha anaishi Gran Meliá Hotel, full board ($469) kwa usiku mmoja. Hii ni Sh1.3 milioni. Leo atakuwa ametumia Sh5.2 milioni (malazi). Anatembea na msafara wa watu 20. Hii ni siyo chini ya Sh105 milioni. Hizi ni pesa za nani? Bashite hataki kuingia katika nyumba ya serikali. Kwanini unaruhusu haya yatokee? Je, unakubaliana naye katika huu UFISADI? Kwanini asiingie katika nyumba ya serikali?
View attachment 2960954
Wakuu wa mikoa ni wasafi sana wakihama hakuna haja ya kufanya fumigation kama mabweni ya shule.Nyumba yafanyiwa usafi ikiwemo fumigation.
Ungekuwa mjanja ungepambana upate zabuni.
Ndo maana huwa nasisitiza upinzani Tanzania haupo bali usindikizaji mfumo wa Kleptokrasia.
Kama analipa pesa tatizo wapi!Kwa hali hii, tutafika?
Anaandika Martin Maranja Masese kwenye Mtandao wa X
Rais Samia Suluhu Hassan, inawezekanaje BASHITE tangu amefika Arusha anaishi Gran Meliá Hotel, full board ($469) kwa usiku mmoja. Hii ni Sh1.3 milioni. Leo atakuwa ametumia Sh5.2 milioni (malazi). Anatembea na msafara wa watu 20.
Hii ni siyo chini ya Sh105 milioni. Hizi ni pesa za nani? Bashite hataki kuingia katika nyumba ya serikali. Kwanini unaruhusu haya yatokee? Je, unakubaliana naye katika huu UFISADI? Kwanini asiingie katika nyumba ya serikali?
View attachment 2960954
Ni zake si za serikali. Plus hukui ni za matumizi ganiMakonda ana nyumba zake hapo Arusha.
Basi ziwe mbiliNyumba akihama kiongozi huwa zinakarabatiwa kwanza kabla ya mwingine kuingia, Rangi na Furniture ni kawaida sana
Duhhhh! Pesa za kuchezea hizo
Sawa sawa. Je hapo hotelini analipa nani hizo gharama kama ni kweli kwa siku ni hizo dola ?Tuache kukurupuka!! Nyumba ya Mkuu wa Mkoa ilikua inakaliwa na mtangulizi wake hvyo ni lazima mtangulizi wake aondoke kwanza na ukarabati ufanyike ndipo ahamie. Halaf mlitaka akakae kwenye lodge ya elf50 acheni zenu bana
Okay tufanye inakarabatiwa je hiO gharama kwa sasa za hotel analipa nani ? Kama ni gharama ni kweli hizo dolaBasi ziwe mbili
Labda wafanyabiashara waliompokea Airport na magari ya kitalii au Hotel yenyewe imejitolea.Sawa sawa. Je hapo hotelini analipa nani hizo gharama kama ni kweli kwa siku ni hizo dola ?
Nadhani tungejua mlipaji wa hizo gharama wkt huu akisubiria nyumba ya serikali, kama Mtumishi wa serikaliLabda wafanyabiashara waliompokea Airport na magari ya kitalii au Hotel yenyewe imejitolea.
Unaona hela ndogo siio stupidEti upinzanzi kwa style hii tuwape Nchi.
Hapana kwa kweli bora nikaa bila kupiga kula
Wangehoji ni nani analipa hizo gharama zote za hotel ya kitalii kwa mtumishi wa ummaNyumba yafanyiwa usafi ikiwemo fumigation.
Ungekuwa mjanja ungepambana upate zabuni.
Ndo maana huwa nasisitiza upinzani Tanzania haupo bali usindikizaji mfumo wa Kleptokrasia.
Akili za Mtanzania inashangaza sana, utakuja kugombana na upepo, sasa tume huru ya uchaguzi ipo kwa faida ya wananchi na watanzania wote au kwa wapinzani pekee?Hii ndio kazi ya upinzani
Ku tweet tu
Katika ufisadi unaoendelea TZ KWEnye miradi, huu nao ni ufisadi au umeleta umbeya
Ndio maana mmletewa tume huru kwa jina
Hamna akil
Hata sielewi uhusuano wa huyu maza na Bashite 😡Kwa hali hii, tutafika?
Anaandika Martin Maranja Masese kwenye Mtandao wa X
Rais Samia Suluhu Hassan, inawezekanaje BASHITE tangu amefika Arusha anaishi Gran Meliá Hotel, full board ($469) kwa usiku mmoja. Hii ni Sh1.3 milioni. Leo atakuwa ametumia Sh5.2 milioni (malazi). Anatembea na msafara wa watu 20.
Hii ni siyo chini ya Sh105 milioni. Hizi ni pesa za nani? Bashite hataki kuingia katika nyumba ya serikali. Kwanini unaruhusu haya yatokee? Je, unakubaliana naye katika huu UFISADI? Kwanini asiingie katika nyumba ya serikali?
View attachment 2960954
Sijajifunza kitu , nitawanyoosha .Kwa hali hii, tutafika?
Anaandika Martin Maranja Masese kwenye Mtandao wa X
Rais Samia Suluhu Hassan, inawezekanaje BASHITE tangu amefika Arusha anaishi Gran Meliá Hotel, full board ($469) kwa usiku mmoja. Hii ni Sh1.3 milioni. Leo atakuwa ametumia Sh5.2 milioni (malazi). Anatembea na msafara wa watu 20.
Hii ni siyo chini ya Sh105 milioni. Hizi ni pesa za nani? Bashite hataki kuingia katika nyumba ya serikali. Kwanini unaruhusu haya yatokee? Je, unakubaliana naye katika huu UFISADI? Kwanini asiingie katika nyumba ya serikali?
View attachment 2960954
Akili za Mtanzania inashangaza sana, utakuja kugombana na upepo, sasa tume huru ya uchaguzi ipo kwa faida ya wananchi na watanzania wote au kwa wapinzani pekee?
Watanzania bwana tunakuwa na expectations kubwa sana kutoka viongozi wetu. Sasa Raisi Samia, ambaye anavaa saa ya Tshs 110m mkononi (na hakuna aliyeuliza kama saa ni sehemu ya kuvishwa na serikali), anaambiwa inakuwaje Makonda anakaa chumba cha Tshs 1.3m kwa siku? Ukiambiwa basi mhamishieni chumba cha Tshs 2.0m kwa siku sijui utasemaje?Kwa hali hii, tutafika?
Rais Samia Suluhu Hassan, inawezekanaje BASHITE tangu amefika Arusha anaishi Gran Meliá Hotel, full board ($469) kwa usiku mmoja. Hii ni Sh1.3 milioni. Leo atakuwa ametumia Sh5.2 milioni (malazi). Anatembea na msafara wa watu 20.
Hii ni siyo chini ya Sh105 milioni. Hizi ni pesa za nani? Bashite hataki kuingia katika nyumba ya serikali. Kwanini unaruhusu haya yatokee? Je, unakubaliana naye katika huu UFISADI? Kwanini asiingie katika nyumba ya serikali?