Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Kiongozi wa majambazi.Ndio maana aliongoza kikundi cha wasiojulikana kuteka, kutesa na kuua watu wasio na hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi wa majambazi.Ndio maana aliongoza kikundi cha wasiojulikana kuteka, kutesa na kuua watu wasio na hatia
Kuna jambazi lisilotisha?Makonda anatisha
Ana nyota kali
Mkuu Bali, balimar ,Kuna presidential candidates for 2025 rallies wanawake umewapendekeza
Mzee wa Voice from within tumekwama twende na yupi,??
Hii ni voice confusion from central
Kangaroo court?Huna ushahidi mkuu, kama uko nao na bila chenga, peleka mahakamani
Alitenda nini alipokuwa RC wa Dar es Salaam??Anaogopeka kwa kuwa ni mtu wa vitendo
Akisema anatenda