Makonda amwandikia ujumbe Zari wa Diamond

Sijui dar tulimkosea nini mungu kumpata rc wa dizaini hii
Sijaona kiongozi yoyote wa serikali issue za udaku kama hizi eti anapost kumpa pole zari
Hata tundu lissu hujawah kumpa pole hata siku moja
Muda wa ofisini unakaa instagram
Wa kumpa pole zali ni mwanaume au mwanamke kama zari?
Nimeshangaa sana
Tuna rc wa ajabu kuwahi kutokea
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisa yani
mtoto raha sana mwambie.alitaka amkatae mtoto sio? hizo mambo aachie wenye mbegu zao
 
Hata mm sikukuona uje hapa umpongeze kwa juhud zake kikazi kwa mf juz yale mabadiliko kwenye jeshi la police

Kwa hyo kama ww unavo ona amkosa peke yake huoni jema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…