Makonda ana tabia zote za Hayati Magufuli

Yaani hoja mkuu,
Ni kwamba makonda anazo zile tabia za magufuli kama alivyokuwa anafanya.

Amesema sasahiv mambo yamebadilika hawawezi kuendelea kufanya kazi ofisini na sasa watakuwa wanasikiliza matatizo ya wananchi
Baba hata moja

Magu wa a man of his words and actions
 
Anafaa
Anafaa twende naye 2025
 
Hizi dua na sala zenu mbona hazikumuokoa magufuli, acheni kumdanganya
 
Ubongo wako haufanyi kazi.Kwa hiyo ni sifa kufanana na "maliyemu"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…