Makonda anaeneza ukabila? Ni nini kinamfanya aongee kisukuma huko usukumani?

Makonda anaeneza ukabila? Ni nini kinamfanya aongee kisukuma huko usukumani?

This is clearly a form of hate speech and not free speech. Inashangaza sana.

It is a biased and hateful opinion(well huyu saigilo amejivua akili tu) that could potentially incite hatred and violance against Wasukuma people let alone the offices of Jamiiforums!

Yes, we can argue its a form of free speech, but when it is based on bias and hatred and incites violance amongst Tanzanians against Tanzanians, it becomes a hate speech.

Maxence Melo I am dismayed at seeing such a statement on your forum Ndugu. I know it is important to respect free speech, but also to prevent and condemn any form of discrimination, intolerance, or extremism. I appreciate all you do but this is crossing the line. Kama ni free speech basi muachie nyuzi zitakazo sema mpigwe na mayai viza popote mlipo.

Moderators mjitathmini.

..Hate speech zipo sana hapa JF.

..Na huwa zinaelekezwa kwa jamii fulani sitaitaja leo.
 
Ningekuwa na Uwezo wa Kuongea Lugha zote ningeziongea popote iwapo muhusika atanielewa..., Lugha kazi yake ni Mawasiliano tu..., Kuogopa kuongea lugha fulani au kutenga wasiojua hio lugha ndio ukabila ila sio kuiongea... Na Politically inaonekana unajali (you speak the same language) kama watu wa Ughaibuni wanavyosema....

Na ingawa sijamsikiliza lakini sidhani kama alifanya hivyo mwanzo mwisho (nadhani alichombeza tu) kama alifanya hivyo mwanzo mwisho hence kutenga majority nchini ambao hawakumuelewa basi atakuwa hakujitendea haki (ni kama kumpigia mbuzi gitaa)
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Usimsikilize ama na ww ongea Lugha yako
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Umelogwa siyo bure
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Unateseka ukiwa wapi goroko wewe?
 
Makabila ambayo wanapenda kuongea vilugha
Wasukuma
Wahaya
Wakurya
Wanyakyusa
 
Tanzania ilijivua nira za ukabila miaka mingi iliyopita.
Hata hivyo kwa sababu ya siasa za ubinafsi unaosababishwa na fikra zenye uoni mfupi, ukabila bado unajijenga.
Tusipochukua tahadhari, tukizingatia kuwa hata shule na vyuo ni vya kata hadi kanda, hii changamoto itaongezeka.
Kuanzia awamu ya kwanza mpaka ya nne, fikra za ukabila zilikuwa kidogo au chini chini. Mabadiliko makubwa ya viongozi serikalini kwenye awamu ya tano ndiyo yaliyoibua kwa wingi hisia za ukabila na hata kutamkwa wazi wazi kwenye majukwaa ya kisiasa.
Tutahitaji viongozi majasiri, wasio waoga, wanaoweza kusimama wenyewe kudhibiti fikra za ukabila.
Mwanasiasa kuegemea kwenye ukabila au dini ni uthibitisho wa uoga na unafiki.
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Yupo kwenye kampeni ya 2025, ila utaskia CHADEMA ya wachagga wakati hata huko kwao[Uchagani] hawafanyagi mikutano.
 
Tanzania ilijivua nira za ukabila miaka mingi iliyopita.
Hata hivyo kwa sababu ya siasa za ubinafsi unaosababishwa na fikra zenye uoni mfupi, ukabila bado unajijenga.
Tusipochukua tahadhari, tukizingatia kuwa hata shule na vyuo ni vya kata hadi kanda, hii changamoto itaongezeka.
Kuanzia awamu ya kwanza mpaka ya nne, fikra za ukabila zilikuwa kidogo au chini chini. Mabadiliko makubwa ya viongozi serikalini kwenye awamu ya tano ndiyo yaliyoibua kwa wingi hisia za ukabila na hata kutamkwa wazi wazi kwenye majukwaa ya kisiasa.
Tutahitaji viongozi majasiri, wasio waoga, wanaoweza kusimama wenyewe kudhibiti fikra za ukabila.
Mwanasiasa kuegemea kwenye ukabila au dini ni uthibitisho wa uoga na unafiki.

Tulieni dawa iwaingie
 
Tulieni dawa iwaingie
Hakuna habari za dawa. Tunahitaji kujenga jamii na taifa la watu wenye fikra zinazoweza kujenga hoja au kujibu hoja kwa facts.
Dawa ni hoja zenye mantiki na weledi, mipasho ya wajinga na wapuuzi tuwaachie wenyewe.
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Hii mimba ya Makonda uliyo nayo itakutesa sana hadi ufikishe miezi 9.
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Nimerudia kusoma tena, kumbe wewe mpumbavu sana eti kisukuma kibaya na ungeona aibu kukitumia karne hii!
Tanzania tuna makabila 120+ Sasa aibu na kabila baya ni kisukuma? Pumbavu sana wewe.
 
Tz hatuwazi hayo mambo,hata Muha akiongea kiswahili anakua na rafuzi kiha,but Wala si kitu Tz ukabila si jambo la mjadala kwetu.Relax nawew kusanya watu ongea kikwenu huta pigwa!
 
Back
Top Bottom