Makonda anaeneza ukabila? Ni nini kinamfanya aongee kisukuma huko usukumani?

Makonda anaeneza ukabila? Ni nini kinamfanya aongee kisukuma huko usukumani?

Umeandika nini ?bado sijakuelewa article lako lina lengo gani? Convincil language tu ,katika kuchagiza jambo kwa jamii fulani tu
 
Kwa hiyo kisa nikiongozi nikiwa home nisiongee lugha yetu huo si utumwa

..ukiwa kwenye shughuli ambazo ni nje ya ofisi na majukumu yako ni ruksa kuongea kilugha.

..pale alipokuwa Makonda ilikuwa ni shughuli ya umma, na ilikusanya Watanzania wenye asili, na imani tofauti, hivyo haikuwa sahihi kuzungumza kilugha.
 
Nimerudia kusoma tena, kumbe wewe mpumbavu sana eti kisukuma kibaya na ungeona aibu kukitumia karne hii!
Tanzania tuna makabila 120+ Sasa aibu na kabila baya ni kisukuma? Pumbavu sana wewe.
Lugha ni njia tu ya kuwasiliana, sasa athibitishe huo ubaya ni kukosa ufanisi wa kufikisha ujumbe.
Vinginevyo huu utakuwa uhalifu kama kutukana matusi.
 
Hawezi kuacha hili, ndio tabia yake tangu akiwa na mwendazake!
Ni mtu asiyefaa kabisa kuongoza popote!
 
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.

Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Ndugu yako Tlaatlaah anasemaje?! Hajampongeza huyo mwenezi kwa kuendelea kuimarisha sukuma gang hapa nchini?
 
Lugha ni njia tu ya kuwasiliana, sasa athibitishe huo ubaya ni kukosa ufanisi wa kufikisha ujumbe.
Vinginevyo huu utakuwa uhalifu kama kutukana matusi.
huyo ni mbinafsi na anawachukia tu wasukuma, na anajaribu kushawishi na wengine wawe na chuki kama yeye dhidi ya wasukuma bila sababu yenye mashiko na dhaifu sana kama anavyoshupaza shingo apo ulipombananisha 🐒
 
Ndugu yako Tlaatlaah anasemaje?! Hajampongeza huyo mwenezi kwa kuendelea kuimarisha sukuma gang hapa nchini?
Mwanza & shinyanga hiyo ndio lugha yao kuu ya mawasiliono miongoni mwao.
Ni fahari sana kuzungumza kikwenu ukiwa kwenu.

kijana angezungumza mahali pengine tofauti na huko alikozungumza, kwaweli unaweza kuita ni ukabila lakini home?

kama ninyi ni wasukuma lakini mmzaliwa mwananyamala na amana, hamkujui kisukuma ata cha kuomba maji acheni gubu basi kwa waliozaliwa nyakato.

Najua inatia unyonge sana unaitwa msukuma, na kweli baba na mamako ni wasukuma na hujui kaneno ata kamoja kakisukuma, halafu wenzio wanakibonga kama lugha ya malkia 🤣 inakera sana....

wahenga walisema,

nanukuu....

"mkataa kwao mtumwa "

mwisho wa kunukuu.....

Nadhani muenezi apigilie msumari wa moto apoapo kwa kisukuma ili wasukuma wote wa Mwanza na shinyanga waelewe vizuri ujumbe na makusudi ya CCM na mwenyekiti Taifa dhidi yao kwa sasa na siku za usoni 🐒
 
Mwanza & shinyanga hiyo ndio lugha yao kuu ya mawasiliono miongoni mwao.
Ni fahari sana kuzungumza kikwenu ukiwa kwenu.

kijana angezungumza mahali pengine tofauti na huko alikozungumza, kwaweli unaweza kuita ni ukabila lakini home?

kama ninyi ni wasukuma lakini mmzaliwa mwananyamala na amana, hamkujui kisukuma ata cha kuomba maji acheni gubu basi kwa waliozaliwa nyakato.

Najua inatia unyonge sana unaitwa msukuma, na kweli baba na mamako ni wasukuma na hujui kaneno ata kamoja kakisukuma, halafu wenzio wanakibonga kama lugha ya malkia 🤣 inakera sana....

wahenga walisema,

nanukuu....

"mkataa kwao mtumwa "

mwisho wa kunukuu.....

Nadhani muenezi apigilie msumari wa moto apoapo kwa kisukuma ili wasukuma wote wa Mwanza na shinyanga waelewe vizuri ujumbe na makusudi ya CCM na mwenyekiti Taifa dhidi yao kwa sasa na siku za usoni 🐒
Ingawa wewe siyo msafwa lakini una kila dalili ya kuwa na nasaba za Lucas mwashambwa.
 
Ingawa wewe siyo msafwa lakini una kila dalili ya kuwa na nasaba za Lucas mwashambwa.
mie sihusiki na yeyeto ispokua kwa maoni yako tu ambayo ni haki yako pia🐒

uliemtaja ni comrade na anafanya kazi zake vizuri na kwa weledi sana, hana gubu na mtu anafocus mbele zaidi....
 
Yupo kwa wasukuma wenzie, acha akumbushie kidogo........viongozi wengi wakiwa kwenye mikutano kule wanakotoka lazima huwa wanachomeka vimaneno vya kilugha kidogo ili wasionekane wanajifanya wa mjini hadi kusahau lugha zao za asili, kwa hiyo ni kawaida tu...
 
Back
Top Bottom