Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 Lakini hata Pierre likwid alisaini so tumuhurumie tu, nadhani psychologically anahisi yeye Bado RC.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 Lakini hata Pierre likwid alisaini so tumuhurumie tu, nadhani psychologically anahisi yeye Bado RC.
Pierre anahisi yeye bado nani?
 
Ndio maana wamempa daftari alilo saini stev nyerere..[emoji1]
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
 
kumbe kuna watu bado hawajamjua makonda.
2466723_IMG-20200726-WA0033.jpeg.jpg
...na wengine bado hawajamjua pierre liquid.
Acha kujitia hofu zisizo na maana yoyote ile
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Kwani mramba amesaini kwa kigezo gani? Hata wewe Kama unajiona unatosha kusaini nenda na speedo yako ukasaini!
 
Badala ya kuhangaika na mambo ya maana ya kuimarisha vyama unakaa kuhangaika na Makonda. What has he done to you? Mbona sasa mnataka wapinzani waonekane hawana hoja? Akisaini kwa vyovyote vile wewe inakuhusu nini? Wewe ni nani ktk familia ya Marehemu?

But vyovyote iwavyo inaathari gani kwako? au kwa watanzania? Tujifunze kuwa na hoja za maana inawezekana usimpende Makonda, but Makonda hatoweza kuwa wa kawaida kama wewe kwa siku za hivi karibuni.

Mimi nilidhani kwa sasa ingebidi kujipanga na kuwaza nani atakuwa mgombea wa CHADEMA na wagombea wa ubunge maeneo mengine na pia kujenga zaidi chama. Badala yake unakuja kuuliza Makonda anasaini kama nani? kweli? nyie jamaa mnasikitisha sana. maana mnatufanya sisi wenye akili zilazimike kuwa kama ninyi msio nazo.


View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
 
Badala ya kuhangaika na mambo ya maana ya kuimarisha vyama unakaa kuhangaika na Makonda. What has he done to you? Mbona sasa mnataka wapinzani waonekane hawana hoja? Akisaini kwa vyovyote vile wewe inakuhusu nini? Wewe ni nani ktk familia ya Marehemu?

But vyovyote iwavyo inaathari gani kwako? au kwa watanzania? Tujifunze kuwa na hoja za maana inawezekana usimpende Makonda, but Makonda hatoweza kuwa wa kawaida kama wewe kwa siku za hivi karibuni.

Mimi nilidhani kwa sasa ingebidi kujipanga na kuwaza nani atakuwa mgombea wa CHADEMA na wagombea wa ubunge maeneo mengine na pia kujenga zaidi chama. Badala yake unakuja kuuliza Makonda anasaini kama nani? kweli? nyie jamaa mnasikitisha sana. maana mnatufanya sisi wenye akili zilazimike kuwa kama ninyi msio nazo.
Mapovu hayatasaidia kitu , jibu swali
 
Badala ya kuhangaika na mambo ya maana ya kuimarisha vyama unakaa kuhangaika na Makonda. What has he done to you? Mbona sasa mnataka wapinzani waonekane hawana hoja? Akisaini kwa vyovyote vile wewe inakuhusu nini? Wewe ni nani ktk familia ya Marehemu?

But vyovyote iwavyo inaathari gani kwako? au kwa watanzania? Tujifunze kuwa na hoja za maana inawezekana usimpende Makonda, but Makonda hatoweza kuwa wa kawaida kama wewe kwa siku za hivi karibuni.

Mimi nilidhani kwa sasa ingebidi kujipanga na kuwaza nani atakuwa mgombea wa CHADEMA na wagombea wa ubunge maeneo mengine na pia kujenga zaidi chama. Badala yake unakuja kuuliza Makonda anasaini kama nani? kweli? nyie jamaa mnasikitisha sana. maana mnatufanya sisi wenye akili zilazimike kuwa kama ninyi msio nazo.
Kwa pumba hizi naona upinzani umejifia kifo cha mende,wajiandae kuwa wapinzani 2025.
 
Kama muombolezaji raia maana ata Gwaji boy, pierre liquid wamesaini.

Ila najiuliza kwenye sehemu ya cheo/designation kandika nn ? Najua yule hawezi kuandika Ex RC au RC mtumbuliwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Utakuwa tu umeelewa kuwa una hoja za kipumbavu.liquid kasaini kama nani?lakini kusaini kwake kuna kuathiri nini? Kunaathiri nini wananchi?wewe labda una sababu hatujui kimahusiano.wananchi wanaathirika na nini?kwa hiyo kungekuwa na mkutano wa hadhara wa CDM moja ya hoja ingekuwa kwa nini makonda kasaini Daftari?

Mapovu hayatasaidia kitu , jibu swali
 
Back
Top Bottom