Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
PoleWewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.
Ila siku ya Makonda ipo tu atakuja sema mchana kweupe ni nani alimtuma na alizikwa wapi mwili wa Ben Saanane
Kama hamziamini mahakama kwa nini hamuendi kwenye mahakama za kimataifa? Au napo huko kuna CHAWA.?Usiwe mjinga! Mahakama gani? Hivi hujui mahakama ni chawa wa serikali.
Jaji Mkuu Prof. Juma ni kibaraka wa serikali na amesha tamka wazi kuziamrisha mahakama zisipingane na serikali katika maamuzi yake!
Sasa kuna mahakama hapo au genge la waganga njaa?
Yeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!Mwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
Ushahidi upo alivamia studio za cloudsYeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!
Gerald Hando anapaswa kujua kuwa anatakiwa kuwa na ushahidi wa anayoyatamka kwenye vyombo vya habari na alipaswa kuweka ushahidi wa Makonda kumteka anayedhani alimteka! Hata mimi natamani kuona wanaosema alimteka mtu fulani waoneshe hata ushahidi kidogo….
Gerald Hando aangalie asije muharibia Diamond chombo chake kwa kuropoka na mwisho wakaanza kuomba msamaha …!
Naona Hando, mlevi mbwa nae anatoa mchango kwenye jamii.Naona anatumwa na time zero.Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Ficha upumbavu wako bwana mdogo. Hata huyo bashite mwenyewe anakushangaa! Watu huwa hawakurupuki kumshutumu mtu. It is impossible until is done. Endelea kushupaza shingoYaaani kwa mjibu wa kitabu cha yeremia kwenye bibulia, inasema watashindana nawe hawatakushinda. Watakao shindana na makonda wataaibika wao. Makonda kapakwa mafuta achape kaziiii.
Hando kajitia kitanzi. Je anao ushahidi wa Makonda kuhusika na utekaji???Mwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
Bashite naye amshangaa Makonda.Mwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
Weka ushaidi wa makonda kumteka ben saabane, weka hapa wewe unayekaaa ikwiriri. Weka ata kavideo kamoja tuone makonda akimteka mtuu. Yaaani makonda kawashika pabaya campuni ya ufipa yote. Mwacheni achape kaziiiii.
Akifuatwa kuulizwa ataanza kusingizia media.Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Kama yeye anavyowafatilia chadema!Ajabu ni kwamba wapinzani wa Makonda ndo wanafuatilia ziara zake masaa 24[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi tayariMwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
Usidanganyike, omba Mungu akupe uhai tu. Makonda atakuja chezea kifungo gerezani labda kitakachomuokoa ni kifo tu kabla Samia hajatoka madarakaniYaaani kwa mjibu wa kitabu cha yeremia kwenye bibulia, inasema watashindana nawe hawatakushinda. Watakao shindana na makonda wataaibika wao. Makonda kapakwa mafuta achape kaziiii.
Mahakamani sio sokoni unajiingilia tu acha uj8ngaKama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee