kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Huyo sio mkombozi ni mshenzi mmoja mwenye akili ndogo ila anajifanya ana akili.MWACHE AHOJIWE NA ANATAKIWA ATOE MAJIBU SIYO KUMUNGUNY AMANENO WAMEIBA SANA MKOMBOZI KAINGIA ARUSHA WACHA WANYOROSHWE BADO LEMA
Kwani wote wana sauti kubwa ? Kwakuwa basha wako makonda anasauti kubwa basi unadhani wote wako hivyo? Mbona yeye anamatako makubwa wengine hawana inamana atalazimisha wote wawe na matako kama yake? Aache ujuaji mwingiAliambiwa mara nyingi aongeze sauti.Wacheni kutetea ujinga.Unapotakiwa kutoa maelezo ili wananchi wakusikie inabidi uzungumze kwa sauti ili usikike.Alihimizwa azungumze kwa sauti mara zaidi ya mbili akawa anarudia vile vile.
Nanukuu:Kuna watu wajinga sana nchi hii.
Huyu jamaa saa ngapi anafanya kazi za mkoa wake.
Nna mke mzuri ,kwani nani hana wake wazuri dunia hii.
Its too much
Makonda akili ndogo sana basi tu hajijui?Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Mkuu; Unapoint nzuri sana tena sahihi 100%, Ila dah! mwanangu hiyo lughaaaaaa.😳.Kwani wote wana sauti kubwa ? Kwakuwa basha wako makonda anasauti kubwa basi unadhani wote wako hivyo? Mbona yeye anamatako makubwa wengine hawana inamana atalazimisha wote wawe na matako kama yake? Aache ujuaji mwingi
Lema alikubaka nini mkuu? Naona una hasira naye sana.ANAWANYOOSHA HASWAA BADO LEMA
Akili kama hizi za kudharau wanawake au maoni ya wengine kwa sababu ya cheo au jinsia ndio maana Taifa lina watu wajinga watupuHayo ni mambo yenu ya kike muyamalize huko huko Longido
Apunguze kujisikia.Atakuwa vizuri duniani tunapita.Huyu Makonda ndo aina ya viongozi tunaowataka.
Piga kazi Mh. Makonda.
Waache wapige majungu.
Sisi wazalendo tuko nyuma yako, tunakuombea.
Sipendezwi na huyu jamaa kwa udhalilishaji anao ufanya kwa watumishi wa serikali ili yeye ajipe promo kwa wananchi wajinga. WajingaMkuu; Unapoint nzuri sana tena sahihi 100%, Ila dah! mwanangu hiyo lughaaaaaa.😳.
Mfalme Suleiman aliomba HEKIMA huyu baba akipigiwa makofi basi tena hapo ni mkuu wa mkoa akiwa waziri je? Waziri mkuu je? Rais je? Hapana ni kiongozi mzuri ila hana hekima basi Hilo tuKiongozi CHIZI.
NAONA AIBU KUWA NA KIONGOZI KAMA HUYU!
SwadaktaSipendezwi na huyu jamaa kwa udhalilishaji anao ufanyabkwa watumishi wa serikali ili yeye ajipe promo kwa wananchi wajinga. Wajinga
Asiwafanye watumishi kama watu wasio lipa kodi wakati na wao wanatumia jasho lao kuitumikia serikali tena majukumu mengi na ujira mdogo na bado wanalipa kodi pia.
Aache udhalilishaji yeye pia sio msafi
Makonda yupo sahihi. Huyo binti kazidisha mapozi kwa RCAkiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Ustarabu ndo ujinga ngani? Unafiki tu!Kila kitu kina utaratibu wake, kama alikuwa hamsikii angemwambia kistaarabu aongeze sauti, sio kumjibu kama alivyomjibu
Kwani Lema naye yupo Ccm Serikalini. ?👁MWACHE AHOJIWE NA ANATAKIWA ATOE MAJIBU SIYO KUMUNGUNY AMANENO WAMEIBA SANA MKOMBOZI KAINGIA ARUSHA WACHA WANYOROSHWE BADO LEMA
Tuheshimiane mkuu! Ina maana sisi tuliokulia machungani unatuonaje? Hilo wala home kwao hawana ng'ombe halijapata malezi ya baba na mama, lilikuwa linafugwa kwa Mh. Khamese pale Mwanza mjini!Huyo Makonda ni mdhalilishaji mpaka kwa mkewe. Hawezi kumshauri chochote. Kuna wakati nilienda Serengeti mbuga ya wanyama. Wakati naandikisha details langoni ili niingie hifadhini, story kubwa miongoni mwa wahudumi wa pale langoni ilikuwa ni jinsi Makonda alivyomdhalilisha mkewe hapo langoni jana yake. Sikutaka hata kujua details za tukio lenyewe. Kila mmoja miongoni mwa wale wahudumu alitoa lake, lakini mmojawapo alisema, 'mimi mwanaume wa hivyo hapana. Ikitokea kwa bahati mbaya nimempata wa hovyo hivyo, siwezi kusafiri naye maana ukikosa uvumilivu mtajidhalilisha mbele ya watu"
Inaonekana Makonda ndivyo alivyo. Labda ametumia muda wake mwingi kuishi na ng'ombe kiasi kwamba hata akiwa na wanadamu, anawaona kama ni ng'ombe.
Huwa sipendi sana mtu kudhalilishwa kwa namna ile aisee.Huyo baba ni mjomba wako?
Hujisikii aibu kumtetea? Au hujaona hiyo clip?
Kuna watu wana sauti ndogo sana
Anamwambiaji aongeze sauti sjui asimrembee km anatoa posa bla bla mke wake this mke that. Vina mahusiano gani ktk mahojiano??
Angemwambia tu weka maiki vizuri mdomoni ili usikike, asingeeleweka?