Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ile yenyewe sio mkoshabu huu.Ganja ndio Sifaa ya Arusha aingie nayo...hapo ataweza kuwatawala machalii
View attachment 2953681
Haina namna machalii wafanye tu wanachoweza kufanyaNa lile sambwanda si machalii watambaka mubashara
Hata mi nimeanza kumtilia maanani yani walioapishwa Leo na muapishaji wao ila anaesikika ni PCM tuPCM ni dude, why kila leo na si mwingine..?
Je anasikika kwa wema au ubaya?Hata mi nimeanza kumtilia maanani yani walioapishwa Leo na muapishaji wao ila anaesikika ni PCM tu
Utakavyotaka umsikie ndivyo atakavyosikikaJe anasikika kwa wema au ubaya?
Hili fumbo kwa chama tawala
We are not the same and we can't be the same bro! I got only single I'd since 2009 and johnthebaptist joined 2014johnthebaptist mambo vipi kada?
NyotaHii concept ya kushushwa cheo huwa siielewi, Binafsi naona msemaji wa chama hana mamlaka yoyote zaidi ya kuwa spika ya chama na sasa Makonda kaingia katika utendaji serikalini.
Halafu huyu jamaa sijui ana nini, hapo hata akipewa uwenyekiti wa mtaa atazungumzwa na kutazamwa utendaji wake kuliko waziri.