Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Daaah nani sijui Dayaspora vile ndo mnavoitwa eeeh? Mmejitolea kwa moyo mkunjufu na pengine kujinyima mengi ili kutoa msaada kwa ndugu zenu veeeeeri guud. Sasa mko katika kazi nyingine kumbembeleza mhashimiwa Jiwe afanye jitihada kidogo ili msaada mlioutoa ufike kwa wasaidiwa. Naam serikali ya wanyonge na sikivu ambayo kwa bahati mbaya tu ikaweka vikwazo kwa wanyonge kufikiwa na misaada kutoka kwa ndugu zao dayaspora sijui nini nini huko, nadhani imesikia na mkuu wa malaika mtarajiwa baada ya nyie kuwa chini ya miguu yake atawezesha wasaidiwa kupata misaada waliosaidiwa na watoa msaada<
 

Sheria za kodi zinaeleweka consignee anaandikwa kwenye bill of lading na siyo kwenye mzigo husika. Hata ukivuta jina kwenye mzigodocuments zilizosafirisha mzigo zinatambua mmiliki halali wa mzigo ni yule aliyeandikwa kwenye bill of lading
 
Kwa sababu wameichimbia shimo nafsi yangu, njia yake na iwe giza na utelezi, malaika wa bwana akimfuatia kwa upanga, na wavu aliouweka umnase yeye mwenyewe.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka hata nassari ilibidi atumie fedha zake kulipia ambulance aliyonunua kwa ajili ya wananchi, imewatokea wengi sana hata kama ni kwa nia njema, sheria zimewekwa ili zifuatwe, ikikiukwa mara moja itakiukwa kila mara kukiwa na mfano hai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi Makonda nae alipe kama sheria inavyotaka au wampe muda itakuwa jambo la busara zaidi, wanaagiza vya nini bila kujipanga? Ona sass wamekutana waziri wa mipango, Mpango
 
Lile Lori aliloleta boni kwaajili ya kuchakata uchafu kwa manispaa ya kinondoni toka ujerumani limekwama hadi leo, kwan lile halikuwa kwa manufaa ya wananchi? kama wizara na taasisi za serikali zinaagiza vitu nje na wakifika bandarini wanalipa Kodi, sasa yeye mtu binafsi anataka msamaha, akipewa huu msamaha, ntaamini yeye ni mkuu wa raisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie naona kama ni vifaa vya shule na Makonda alikusudia kuyasambaza mashuleni,washirikiane na TRA shule zipate vifaa.

Wakipiga mnada ina maanisha shule binafsi zitanufaika zaidi

[emoji252] [emoji479]
Tuanzie hapa kwanza kwani sheria za kodi zinasemaje??kwani yeye kabla ya kuagiza hizo samani alikuwa hajui utaratibu kuwa zikifika hapa kuna kodi itapaswa kulipwa??na tukisema kila mtu awe ana ingiza vitu kwa kingezo kuwa ni za mashule haitakuwa na afya ki kodi!!kwani yeye ndio wa kwanza kupigiwa mnada vitu vyake??kila siku vitu vinapigwa mnada !!hapa kuna kitu cha ziada
 
M
Makonda ni mtoto wa malaika na alishapewa kibali na baba yake apitishe bure huyu Dr mpango anajisumbua tu hana jeuri ya kubishana na ikulu na mwisho wa siku makontena hayatapigwa mnada,mwisho wa picha utakuja kuamini maneno yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…