SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tena mileleMpira ni dakika 90.atachoka tu na atapumzishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mileleMpira ni dakika 90.atachoka tu na atapumzishwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Go Nyamitako goooo
Hujui Hesabu weweWataalam na watangulizi wetu wenye akili walishasema, sifuri ukizidisha ama kugawanya na chochote jibu bado ni sifuri. Kwa maana kwamba bashite ni sifuri, hakuna cha maana kitakachosemwa na sifuri kikawa na maana.
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa...
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa.
Huyu kijana dah!Yaani mtu akistaafu ana-cease kuwa raia na haki zake zote za kikatiba ana relinquish.Samia Samia,umetuletea CCM mtu gani huyu?Tuondolee haraka,come-on,CCM sio yako peke yako..............!Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa...
Huyu kijana hana adabu nikae kimya mimi na makamba sawa kijana hujui kesho yako
Lile sambwanda si litakuwa linang'inia kabisa kama.sega la nyuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu nimecheka kwa sauti kuuu
Any way
Makonda for president 2045
Mama Abdul anawaonea haya kina JK kaamua kumpa contract hiyo BashiteUenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa...