Makonda awaonya Wastaafu wanaowashwa washwa! Awaelekeza kulea Wajukuu zao...

Makonda awaonya Wastaafu wanaowashwa washwa! Awaelekeza kulea Wajukuu zao...

Katibu wa itikadi na uenezi mheshimiwa paul makonda leo amepokelewa mji mkuu wa tanzania mkoani Dodoma na maelfu ya wanachama wa ccm ambapo katika mapikezi hayo ameenda hadi ofisi za chama kwa ajiri ya majukumu ya kazi zake hata hivyo amewaasa wastaafu kuacha kuwashwawashwa kwa nyakati hizi ambazo raisi anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwani kuongeaongea huku wakijuwa ni wastaafu wanafanya raisi ashindwe kutekeleza majukumu yake hata hivyo amesema kama kuna mstaafu anamchango wowote wa kumshauri raisi milango ipo wazi na siyo kwenda kumuongelea pembeni.

Mwenezi huyo ameenda mbali kwa kusema wapo vijana wameajiriwa mitandaoni wanatumwa na watu wenye fedha kutukana viongozi wa serikali anawajuwa hivyo amesema hatosita kuwataja hadharani kwani hata wauzaji wa dawa za kulevya aluwataja hadharani bila kusit

Maoni yangu kwa vijana hao ni bora wakajitafakari na kuacha tabia hiyo kwani kufanya hivyo hatua kali zinaweza kuchukuliwa dhidi yao , demokrasia ya matusi haipo katika serikali yoyote duniani


Usiku mwema.
safi ngoja awatukane, wamemuendekeza. kwanini wasimkatalie samia kuwa hii hapana, makonda hapana!
 
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa...
Ngoja awadhihaki, wamempenda wenyewe. Kwanini wasimkatalie samia kuwa hili hapana
 
Katibu wa itikadi na uenezi mheshimiwa paul makonda leo amepokelewa mji mkuu wa tanzania mkoani Dodoma na maelfu ya wanachama wa ccm ambapo katika mapikezi hayo ameenda hadi ofisi za chama kwa ajiri ya majukumu ya kazi zake hata hivyo amewaasa wastaafu kuacha kuwashwawashwa kwa nyakati hizi ambazo raisi anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwani kuongeaongea huku wakijuwa ni wastaafu wanafanya raisi ashindwe kutekeleza majukumu yake hata hivyo amesema kama kuna mstaafu anamchango wowote wa kumshauri raisi milango ipo wazi na siyo kwenda kumuongelea pembeni.

Mwenezi huyo ameenda mbali kwa kusema wapo vijana wameajiriwa mitandaoni wanatumwa na watu wenye fedha kutukana viongozi wa serikali anawajuwa hivyo amesema hatosita kuwataja hadharani kwani hata wauzaji wa dawa za kulevya aluwataja hadharani bila kusit

Maoni yangu kwa vijana hao ni bora wakajitafakari na kuacha tabia hiyo kwani kufanya hivyo hatua kali zinaweza kuchukuliwa dhidi yao , demokrasia ya matusi haipo katika serikali yoyote duniani


Usiku mwema.
Anaambiwa Warioba, siyo?
 
Tumeshaingia kwenye 18 za CCM AJENDA ZOTE tumesahaulishwa (DP World, Wamasai, CAG report , kesi za Serekali EURO) kila mtu anazungumzia kauli za Makonda.. tumeamua kucheza ngoma CCM..🙌🙌🙌
Nikishalisema hili,nia Ilikuwa kuzika discussion for important issues za kitaifa ,and they seem to succeed.Jamaa comments zake ni very contravercial,obviously calculated ku-create anger na hivo kuleta heated debate.
 
Katibu wa itikadi na uenezi mheshimiwa paul makonda leo amepokelewa mji mkuu wa tanzania mkoani Dodoma na maelfu ya wanachama wa ccm ambapo katika mapikezi hayo ameenda hadi ofisi za chama kwa ajiri ya majukumu ya kazi zake hata hivyo amewaasa wastaafu kuacha kuwashwawashwa kwa nyakati hizi ambazo raisi anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwani kuongeaongea huku wakijuwa ni wastaafu wanafanya raisi ashindwe kutekeleza majukumu yake hata hivyo amesema kama kuna mstaafu anamchango wowote wa kumshauri raisi milango ipo wazi na siyo kwenda kumuongelea pembeni.

Mwenezi huyo ameenda mbali kwa kusema wapo vijana wameajiriwa mitandaoni wanatumwa na watu wenye fedha kutukana viongozi wa serikali anawajuwa hivyo amesema hatosita kuwataja hadharani kwani hata wauzaji wa dawa za kulevya aluwataja hadharani bila kusit

Maoni yangu kwa vijana hao ni bora wakajitafakari na kuacha tabia hiyo kwani kufanya hivyo hatua kali zinaweza kuchukuliwa dhidi yao , demokrasia ya matusi haipo katika serikali yoyote duniani


Usiku mwema.


Cha kujiuliza ni wewe kwanini unapoteza muda kumzungumzia mwongeaji wa itikadi za chama!! badala ya mambo ya msingi. Hivi inakuwaje kama nchi tunashangaa kwanini ni masikini wakati vijana wetu kama wewe mnashindia kiki na mipasho kila siku
 
Katibu wa itikadi na uenezi mheshimiwa paul makonda leo amepokelewa mji mkuu wa tanzania mkoani Dodoma na maelfu ya wanachama wa ccm ambapo katika mapikezi hayo ameenda hadi ofisi za chama kwa ajiri ya majukumu ya kazi zake hata hivyo amewaasa wastaafu kuacha kuwashwawashwa kwa nyakati hizi ambazo raisi anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwani kuongeaongea huku wakijuwa ni wastaafu wanafanya raisi ashindwe kutekeleza majukumu yake hata hivyo amesema kama kuna mstaafu anamchango wowote wa kumshauri raisi milango ipo wazi na siyo kwenda kumuongelea pembeni.

Mwenezi huyo ameenda mbali kwa kusema wapo vijana wameajiriwa mitandaoni wanatumwa na watu wenye fedha kutukana viongozi wa serikali anawajuwa hivyo amesema hatosita kuwataja hadharani kwani hata wauzaji wa dawa za kulevya aluwataja hadharani bila kusit

Maoni yangu kwa vijana hao ni bora wakajitafakari na kuacha tabia hiyo kwani kufanya hivyo hatua kali zinaweza kuchukuliwa dhidi yao , demokrasia ya matusi haipo katika serikali yoyote duniani


Usiku mwema.
Gwajima hajafungwa hadi leo, why?
 
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa...
Kazi ndo imeanza
 
Wataalam na watangulizi wetu wenye akili walishasema, sifuri ukizidisha ama kugawanya na chochote jibu bado ni sifuri. Kwa maana kwamba bashite ni sifuri, hakuna cha maana kitakachosemwa na sifuri kikawa na maana.
Hivo askofu Gwaji boy yupo kweli?

Mbona yuko kimya sana?

Kalishwa nini huyu mzee sijamsikia kwenye ishu ya bandari wala suala lolote yaani ni kimya kama amekufwa[emoji848]
 
Back
Top Bottom