Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
📌📌📌Mwambieni aendelee kubwabwaja na kuomba aombewe huko kwa makanisa na misikiti kama yule aliyeenda ! Litampata la kumpata! Aendelee kuwaona wengine mapoyoyo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌📌📌Mwambieni aendelee kubwabwaja na kuomba aombewe huko kwa makanisa na misikiti kama yule aliyeenda ! Litampata la kumpata! Aendelee kuwaona wengine mapoyoyo!!
Sio siri uchawi bado upo nimeamini!Kijana anamuamini Mganga wake kweli kweli
Hii ni mbinu ya kuwarudisha kundini waliosusa kwa hoja kuwa Wazee wanamuendesha MamaSema tu kikwete na mzee makamba tulieni wamwache mama.........
huyu kwa ccm ya sasa ni mwepesi kama ufuta shambani...watamzimisha akakutane na Jpm kuzimuUongozi wa Magufuli ni ngoma iliyovuma sana na ilipasuka na katika mpasuko wa ngoma huyu bwana ni chupuchupu.
Kwani hamna funzo alilopata atubu na aishi vizuri na watu.
hichi anachofanya ni kurudi kule kule na hawezi kupata uimara ule tena kwa sababu mkuu wake wa zamani alikuwa strong kwenye misimamo kuliko huyu wa sasa.
Asijiamini sana hayuko salama sana kiasi kile tena
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Aliyempiga mtama bila shakaWastaafu gani hao?.
mnamdanganya...Ccm ina wenyeweViva Makonda, Kiongozi wetu usiyejua kupepesa macho na kupindisha pindisha maneno. [emoji122][emoji122][emoji122]
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa.
]
Watu kama Samia wasio na maono ndiyo huzoa wateule kama hawa ambao hata akili ndogo ya kujua haki ya mtu kikatiba hana. Kwa hiyo Nyerere na Mkapa ni wajinga waliostaafu wakaandika vitabu tena wakikosoa?
Bado yuko na mzee Warioba tu?“Sikuweza kusema kipindi cha miaka yote ile kwasababu sikuwa na nafasi yoyote na Mimi utaratibu wangu ukipewa nafasi unapewa kazi uliyopewa ukimaliza unapumzika, huwezi kupewa kazi umemaliza umepumzika wewe ni Mstaafu lakini kila siku upo kwenye microphone, huo sio utaratibu”
Kakukuna wapi?Hahaah
Mkunaji ana kucha ndefu sana
Makonda yuko sawa akina Kikwete amekaa sana serikalini akiwa Waziri mpaka hakapewa urais miaka 10 ,ikaisha lakini bado hataki kustafu amekuwa remote control kwa Samia,naona Samia kamchoka ndio maana kamtumia Makonda hamsemee,hukiisha staff kaa nyumbani, mbona Mwinyi yupo kwake;na maisha yanasonga? Kikwete alisahau nini ikuru?Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu a Makonda ameteuliwa wamepiga kelele nyingi kwasababu wanajua nawajua na hofu yao ni kuwajua, walitamani waendelee kukaa kwenye maficho wasijulikane lakini Mungu ni mwema ninawafahamu”
My Take
Watu kama Samia wasio na maono ndiyo huzoa wateule kama hawa ambao hata akili ndogo ya kujua haki ya mtu kikatiba hana. Kwa hiyo Nyerere na Mkapa ni wajinga waliostaafu wakaandika vitabu tena wakikosoa?
Kweli Aisee[emoji28]Chama kilikuwa kinahitaji mtu kama huyu kichangamke
Wewe kibibi pia inakuhusuAhsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.