Makonda awaonya Wastaafu wanaowashwa washwa! Awaelekeza kulea Wajukuu zao...

Makonda awaonya Wastaafu wanaowashwa washwa! Awaelekeza kulea Wajukuu zao...

safi ngoja awatukane, wamemuendekeza. kwanini wasimkatalie samia kuwa hii hapana, makonda hapana!
Kwa CCM Rais na mweyekiti wao hapingwi kwa lolote lile, alitakalo ndiyo linakuwa,huo ndiyo utamaduni wao.
 
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa.

Akiongea Jijini Dodoma leo Makonda amesema “Kuna tofauti kubwa kati ya tuliokuja Mjini kwa kuungaunga na wale tuliowakuta Mjini, tuliokuja kwa kuungaunga tumepigana vita mapori mengi sana, ndio maana hata ukiulizwa hivi Makonda ni nani hata Baba yake humjui kwasababu tumepiga vita vingi sana, niwaombe tu mliopo ndani ya CCM na nje ya CCM huyu Dkt. Samia ndiye Rais wetu ameletwa na Mungu kwa mapenzi yake Mungu tumpe nafasi ya kufanya kazi”

“Sikuweza kusema kipindi cha miaka yote ile kwasababu sikuwa na nafasi yoyote na Mimi utaratibu wangu ukipewa nafasi unapewa kazi uliyopewa ukimaliza unapumzika, huwezi kupewa kazi umemaliza umepumzika wewe ni Mstaafu lakini kila siku upo kwenye microphone, huo sio utaratibu”

“Ukishaitwa Mstaafu tulia lea Familia yako wakikuona wa maana watakuita kama walivyomuita Makonda, huwezi kuwa Mstaafu halafu kutwaa, aah, aah, na Wastaafu Nchi hii wanaheshimika sana na Mimi nimejifunza kutoka kwao, nakumbuka Marehemu Mzee Mkapa alipostaafu siku moja nimeenda nyumbani kwake nikamuuliza Mzee vipi mbona uko kimya sana akasema unataka nifanye nini?, nikamwambia Mzee unajua akasema hapana Mimi nimemaliza wajibu wangu”

“Kwahiyo tumuache Rais Samia afanye kazi , tusilipelipe Watu mitandaoni wamtukane, kama una pesa kuna Bodaboda wanahitaji pikipiki, Mamantilie wanahitaji mitaji, Wavuvi wanataka boti, kama unawapenda wape hao badala ya kuwapa Watu hela wamtukane Rais wetu na ndio maana waliposikia Makonda ameteuliwa wamepiga kelele nyingi kwasababu wanajua nawajua na hofu yao ni kuwajua, walitamani waendelee kukaa kwenye maficho wasijulikane lakini Mungu ni mwema ninawafahamu”

My Take
Watu kama Samia wasio na maono ndiyo huzoa wateule kama hawa ambao hata akili ndogo ya kujua haki ya mtu kikatiba hana. Kwa hiyo Nyerere na Mkapa ni wajinga waliostaafu wakaandika vitabu tena wakikosoa?
Bashite ana IQ ndogo sana sana..
Waliomchaguwa wana maana yao au nawo yawezekana hajuwi wafanyalo..
Time will tell...
 
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa.

Akiongea Jijini Dodoma leo Makonda amesema “Kuna tofauti kubwa kati ya tuliokuja Mjini kwa kuungaunga na wale tuliowakuta Mjini, tuliokuja kwa kuungaunga tumepigana vita mapori mengi sana, ndio maana hata ukiulizwa hivi Makonda ni nani hata Baba yake humjui kwasababu tumepiga vita vingi sana, niwaombe tu mliopo ndani ya CCM na nje ya CCM huyu Dkt. Samia ndiye Rais wetu ameletwa na Mungu kwa mapenzi yake Mungu tumpe nafasi ya kufanya kazi”

“Sikuweza kusema kipindi cha miaka yote ile kwasababu sikuwa na nafasi yoyote na Mimi utaratibu wangu ukipewa nafasi unapewa kazi uliyopewa ukimaliza unapumzika, huwezi kupewa kazi umemaliza umepumzika wewe ni Mstaafu lakini kila siku upo kwenye microphone, huo sio utaratibu”

“Ukishaitwa Mstaafu tulia lea Familia yako wakikuona wa maana watakuita kama walivyomuita Makonda, huwezi kuwa Mstaafu halafu kutwaa, aah, aah, na Wastaafu Nchi hii wanaheshimika sana na Mimi nimejifunza kutoka kwao, nakumbuka Marehemu Mzee Mkapa alipostaafu siku moja nimeenda nyumbani kwake nikamuuliza Mzee vipi mbona uko kimya sana akasema unataka nifanye nini?, nikamwambia Mzee unajua akasema hapana Mimi nimemaliza wajibu wangu”

“Kwahiyo tumuache Rais Samia afanye kazi , tusilipelipe Watu mitandaoni wamtukane, kama una pesa kuna Bodaboda wanahitaji pikipiki, Mamantilie wanahitaji mitaji, Wavuvi wanataka boti, kama unawapenda wape hao badala ya kuwapa Watu hela wamtukane Rais wetu na ndio maana waliposikia Makonda ameteuliwa wamepiga kelele nyingi kwasababu wanajua nawajua na hofu yao ni kuwajua, walitamani waendelee kukaa kwenye maficho wasijulikane lakini Mungu ni mwema ninawafahamu”

My Take
Watu kama Samia wasio na maono ndiyo huzoa wateule kama hawa ambao hata akili ndogo ya kujua haki ya mtu kikatiba hana. Kwa hiyo Nyerere na Mkapa ni wajinga waliostaafu wakaandika vitabu tena wakikosoa?
Makonda kwa maneno haya anamlenga hasa Kikwete; kwa kumkashifu huku amejiloga yeye na mama Abdul!! Mkwere will not take this lying down, someone will pay dearly.
 
Hana lugha ya staha,hajui kuchagua maneno,hajakomaa wala hakomai, eti "ulitakiwa"badala ya "ukihitajika",,
 
Sema tu Kikwete na mzee Makamba tulieni wamwache mama.........
Mwaka 2012 tulikuwa tunasoma haya JF:

 
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa.

Akiongea Jijini Dodoma leo Makonda amesema “Kuna tofauti kubwa kati ya tuliokuja Mjini kwa kuungaunga na wale tuliowakuta Mjini, tuliokuja kwa kuungaunga tumepigana vita mapori mengi sana, ndio maana hata ukiulizwa hivi Makonda ni nani hata Baba yake humjui kwasababu tumepiga vita vingi sana, niwaombe tu mliopo ndani ya CCM na nje ya CCM huyu Dkt. Samia ndiye Rais wetu ameletwa na Mungu kwa mapenzi yake Mungu tumpe nafasi ya kufanya kazi”

“Sikuweza kusema kipindi cha miaka yote ile kwasababu sikuwa na nafasi yoyote na Mimi utaratibu wangu ukipewa nafasi unapewa kazi uliyopewa ukimaliza unapumzika, huwezi kupewa kazi umemaliza umepumzika wewe ni Mstaafu lakini kila siku upo kwenye microphone, huo sio utaratibu”

“Ukishaitwa Mstaafu tulia lea Familia yako wakikuona wa maana watakuita kama walivyomuita Makonda, huwezi kuwa Mstaafu halafu kutwaa, aah, aah, na Wastaafu Nchi hii wanaheshimika sana na Mimi nimejifunza kutoka kwao, nakumbuka Marehemu Mzee Mkapa alipostaafu siku moja nimeenda nyumbani kwake nikamuuliza Mzee vipi mbona uko kimya sana akasema unataka nifanye nini?, nikamwambia Mzee unajua akasema hapana Mimi nimemaliza wajibu wangu”

“Kwahiyo tumuache Rais Samia afanye kazi , tusilipelipe Watu mitandaoni wamtukane, kama una pesa kuna Bodaboda wanahitaji pikipiki, Mamantilie wanahitaji mitaji, Wavuvi wanataka boti, kama unawapenda wape hao badala ya kuwapa Watu hela wamtukane Rais wetu na ndio maana waliposikia Makonda ameteuliwa wamepiga kelele nyingi kwasababu wanajua nawajua na hofu yao ni kuwajua, walitamani waendelee kukaa kwenye maficho wasijulikane lakini Mungu ni mwema ninawafahamu”

My Take
Watu kama Samia wasio na maono ndiyo huzoa wateule kama hawa ambao hata akili ndogo ya kujua haki ya mtu kikatiba hana. Kwa hiyo Nyerere na Mkapa ni wajinga waliostaafu wakaandika vitabu tena wakikosoa?
... nazi haijaangukia mbali sana na mnazi! ... awamu iliyopita huu ndio uliokuwa wimbo wa WATAWALA!
 
"......Nakumbuka Marehemu Mzee Mkapa alipostaafu siku moja nimeenda nyumbani kwake nikamuuliza Mzee vipi mbona uko kimya sana akasema unataka nifanye nini?, nikamwambia Mzee unajua akasema hapana Mimi nimemaliza wajibu wangu” - Nukuu
Ha ha ngoja tuone panapovuja
Dongo la wazi hili kwa mstaafu Jakaya, maelezo mengine yote yaliyobakia ilikuwa ni kuuzunguka mbuyu. Ajenda ya mstaafu asiyetaka kustaafu inafufuka tena.
 
Uenezi CCM, Paul Makonda amesema sio utaratibu kwa Wastaafu kila siku kuongeaongea huku akiwashauri Wastaafu wakishapumzika watulie na walee Familia zao na kwamba kama watahitajika kwa ajili ya kazi wataitwa.

Akiongea Jijini Dodoma leo Makonda amesema “Kuna tofauti kubwa kati ya tuliokuja Mjini kwa kuungaunga na wale tuliowakuta Mjini, tuliokuja kwa kuungaunga tumepigana vita mapori mengi sana, ndio maana hata ukiulizwa hivi Makonda ni nani hata Baba yake humjui kwasababu tumepiga vita vingi sana, niwaombe tu mliopo ndani ya CCM na nje ya CCM huyu Dkt. Samia ndiye Rais wetu ameletwa na Mungu kwa mapenzi yake Mungu tumpe nafasi ya kufanya kazi”

“Sikuweza kusema kipindi cha miaka yote ile kwasababu sikuwa na nafasi yoyote na Mimi utaratibu wangu ukipewa nafasi unapewa kazi uliyopewa ukimaliza unapumzika, huwezi kupewa kazi umemaliza umepumzika wewe ni Mstaafu lakini kila siku upo kwenye microphone, huo sio utaratibu”

“Ukishaitwa Mstaafu tulia lea Familia yako wakikuona wa maana watakuita kama walivyomuita Makonda, huwezi kuwa Mstaafu halafu kutwaa, aah, aah, na Wastaafu Nchi hii wanaheshimika sana na Mimi nimejifunza kutoka kwao, nakumbuka Marehemu Mzee Mkapa alipostaafu siku moja nimeenda nyumbani kwake nikamuuliza Mzee vipi mbona uko kimya sana akasema unataka nifanye nini?, nikamwambia Mzee unajua akasema hapana Mimi nimemaliza wajibu wangu”

“Kwahiyo tumuache Rais Samia afanye kazi , tusilipelipe Watu mitandaoni wamtukane, kama una pesa kuna Bodaboda wanahitaji pikipiki, Mamantilie wanahitaji mitaji, Wavuvi wanataka boti, kama unawapenda wape hao badala ya kuwapa Watu hela wamtukane Rais wetu na ndio maana waliposikia Makonda ameteuliwa wamepiga kelele nyingi kwasababu wanajua nawajua na hofu yao ni kuwajua, walitamani waendelee kukaa kwenye maficho wasijulikane lakini Mungu ni mwema ninawafahamu”

My Take
Watu kama Samia wasio na maono ndiyo huzoa wateule kama hawa ambao hata akili ndogo ya kujua haki ya mtu kikatiba hana. Kwa hiyo Nyerere na Mkapa ni wajinga waliostaafu wakaandika vitabu tena wakikosoa?
Hasa yule kikongwe Warioba na Butiku Kwa kulazimisha Katiba ilhali anajua sio msimamo wa Chama.

Mwisho inaelekea makofi ya Makonda hayakumtosha
 
Back
Top Bottom