Makonda awaonya Wastaafu wanaowashwa washwa! Awaelekeza kulea Wajukuu zao...

huyu kwa ccm ya sasa ni mwepesi kama ufuta shambani...watamzimisha akakutane na Jpm kuzimu
 


Tabia tabia tabia, haibadiliki, hemu angalieni hili jamaa linarudi upuuzi ule ule.

Sasa nyie mnaooa, kaeni mkiamini mkishaoa atabadilika, hawabadilikagi hata siku moja.
 
Bado yuko na mzee Warioba tu?
 
Makonda yuko sawa akina Kikwete amekaa sana serikalini akiwa Waziri mpaka hakapewa urais miaka 10 ,ikaisha lakini bado hataki kustafu amekuwa remote control kwa Samia,naona Samia kamchoka ndio maana kamtumia Makonda hamsemee,hukiisha staff kaa nyumbani, mbona Mwinyi yupo kwake;na maisha yanasonga? Kikwete alisahau nini ikuru?
 
Ndugu Mh Mwenezi uliyetoa miezi 6 kwa waziri mkuu kumaliza migogoro ya aridhi nakuuuliza mzee wetu Sinde Waliomba uliyewai mtia Makonde alikukosea nini mpaka sasa

Utaki ajitokeze adharani kuendelea kutoa maoni yake?

Hivi kiumri mbona hamwendani hata vyeo alivyowai vishika wewe uwezi vishika hata uingie kaburini

Je wewe ni wa kumtaka Sinde alelee watoto?yeye anavitukuu sio wajukuu.

Mwisho nikunyegeza Mwanza.
 
Wenyewe mmempa rungu....afanyaje sasa
 
wastaafu walee wajukuu ikibidi waandike vitabu maoni yao tutayasoma huko na kuyafanyia kazi. Big up Mwenezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…