Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alimchukulia hatua gani huyo dereva?
 

Sio kweli.. ukiona hivyo ujue kuna namna kiongozi huyo anabariki huo uhuni. Kama hataki haiwezi kuwa hivyo.
 
Hujawahi kuwa Kiongozi wewe, wacha uwongo.

Kama kuna Kiongozi wa umma, watu wanapitia wasaidizi wake kujitengenezea pesa, na yeye HAJUI, basi HAFAI KUWA KIONGOZI.

There is no any excuse on this aspect
 
Anaweza akaongea ukweli, ila hapo muongo ni yeye kutaka kujitenga na hayo matukio. Ukiona dereva alithubutu kufanya hivyo, basi jua hiyo ndiyo ilikuwa michezo ya boss wake, so ilikuwa ni michezo yao kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
Absolutely correct. Bashite ni pimbi kabisa. Wanaposema ni ZEROBRAIN kweli ni zero. Kanyimwa akilikapewa
 

Attachments

  • Screenshot_20240830_113710_Chrome.jpg
    143.2 KB · Views: 5
Umeandika tafsida (satire) lakini kichwa cha Bashite hakina uwezo wa kutengeneza fasihi ya namna hiyo. Yeye alipewa mshipa wa kuvuruga na kuua tu
 
Mpaka Dereva anachukua gari na kuondoka ww hujui kweli?au ulikua unamruhusu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…