Makonda fuatilia dhuluma mradi wa fidia Jangwani watu wanalipwa 170,000 badala ya milioni 4 aliyosema Waziri

Makonda fuatilia dhuluma mradi wa fidia Jangwani watu wanalipwa 170,000 badala ya milioni 4 aliyosema Waziri

Na serikali wakishawalipa hela huko
Wazibomoe nyumba zote huko

Ova
 
Milioni 4 ni kifuta jasho tu au maana ni ndogo sana
 
Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.

zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
View attachment 2817528
Mjinga mkubwa kwani Makonda ni nani katika serikali? Kusoma huwezi hata kusikia ni shida, hivi hujaona hiyo ni stakabadhi ya mpangaji?
 
Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.

zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
View attachment 2817528
Makonda Aka DBashite hana uwezo huo Serikali Waziri na naibu Ardhi wapo Mkuu wa mkoa yupo Halmashauri wapo tufanyeni kazi kwa weledi.
 
Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.

zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
View attachment 2817528
Hakuna mjinga anaeweza kukubali 170,000.

Pili Waziri yupo social media Kwa nini usifikishe malalamiko Yako?

Mwisho Hakuna mtumishi atafanya hivyo Ili awe kafara wa uchaguzi
 
Duh

4,000,000-170,000=3,830,000

Nchi ngumu sana hii
Na wewe unaamini? Hapo unaweza Kuta ni Afisa anaesimamia Hilo zoezi na sio mmiliki wa eneo.

Serikali sio wajinga wa hivyo na nimeona watu wakihojiwa wakisema wamepewa mil.4-6
 
Bongo nyoso! Mama alisema watu wale kwa urefu wa kamba, kule mtwara maofisa wa polisi waliua mfsnyabiahara, wakampa kesi ya wizi, ili wamdhurumu milioni 33!
Kule Dar, Jwtz waliamua kujifanya low enforcement wakaingia mitaani "kusaka mavazi yao" Wakajichukulia mabegi nk, sasa Leo hili
 
Nimegundua kuwa wewe uko makini sana, hakika siku hizi ninakupenda, nataka umpokee Yesu Kristo
Hilo Gagula hatulitaki kundini litakuja na elements za kiislam ambazo ni kinyaa na kuiaibisha imani yetu tukufu, takatifu na ya kweli.

From the river to the sea Palestine will NEVER EVER be free.
 
Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.

zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
View attachment 2817528
Badala ya kumuomba Waziri mwenye dhamana Eti Makonda
Makonda huyo huyo atalipeleka kwa Waziri husika

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.

zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
View attachment 2817528
Huna akili wewe,huyo Makonda atafanya nini?
 
Makonda afuatilie kama nani?,why ujipe usemaji wa watanzania?,haya ndio mambo ambayo awamu ya kwanza iliharibu, kabla ya kuweka taasisi imara za kusaidia utawala bora, President Nyerere akaamua kujiweka yeye kama ndiye mtatuzi pekee, matokeo yake kila Rais anakuja na mbwembwe zake, uzuzu na ujinga wa watanzania ndio mtaji wao, ilitakiwa anayeona ameonewa aende police akafungue docket au aende kwa PP, makonda sio mtatuzi wa matatizo

Ingekua ivo hata ccm isingekuepo.
 
Kumbe na wapangaji wanataka walambe 4mil? 🤣 🤣 🤣
Wapangaji hukoi pirika na wenye nyumba, na wao wanataka million4 zigawiwe sawa kwa sqa kati ya waoangaji na wenye nyumba.

Wanawema hizo wamepewa za kuhama na siyo za kujenga kwengine, hazitoshi.

Pia wengine wanasema wapewe wao kwani kuna nyumba hapo wenyewe hawakai hapo na wapangaji ndiyo wanaishi hapo miaka yote.

Kuna bongo movie huko.
 
Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.

zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
View attachment 2817528
Duh...🙄🙄
 
Back
Top Bottom