Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii "dathlam" yako naomba niwe naitumia. Very simple.Bashite akaushe yaishe ile style yake na basha wake ya kupora mali za watu kwa mtutu wa bunduki kwa sasa haina nafasi hapo dathlam
Ndio maana mafisadi yaliyobobea utajiri wao wanaishi nao kwa amani kwa kutotafuta ugomvi usio na kichwa wala miguu.
Mtu kama Rostam au Lowassa wangetaka visasi ingekuwaje leo, hao GSM wanatafuta publicity ambayo siyo kabisa.
Magufuli alikuwa anamtumia Makonda kufanikisha madili yake ikiwemo kumuunganishia vimada na kuwa-set sehemu za kufanyia ngono.Jamani hebu tujaribu kujiuliza swali ivi yule kiongoz wa malaika alietuaminisha yeye ni mzalendo namba moja hakua anajua lolote juu ya huyu mwanae? Kama ndivyo u wap usafi wake ikiwa alifumbia macho anaowapenda? Double standard ya kukemea rushwa ndio alikua anajikosha nayo??
GSM sio mtumishi wa umma, sisi umma tuliokupa ukuu wa wilaya na mkoa ndio tunakuhoji, ulipataje Mali hiyo? Tume ya Maadili wanalijua? Kama wewe kidume wataje hao watu tukumalizie, hapo nyumbani umejaza magari ya kudhulumu na ya wizi, umejengea wazazi wako maghorofa huko mwanza, mkweo Ngara, umeghushi vyeti vya elimu.
Huna pa kutokea na wananchi Wana hamu sana kukuona mahakamani.
Na siku Samia anakupeleka mahakamani ndiyo siku anazoa asilimia 95 ya kura za uraisi, hajajua tu kwamba taifa linaizungukia nyumba yako kama mbwa wenye njaa wanavyomwona sungura ndani ya banda
Makonda akumbuke Naibu waziri Wa wizara ya Ardhi ni Ridhiwani Kikwete!
Miaka miwili nyuma makonda alikuwa na cheo Cha wazir mkuu kwa.kofia.ya ukuu.wa.mkoa had nape.wazir wa habari alifukuzwa Kaz na makonda
Makonda alikuwa mhimili uliojichimbia chini lakn bahat mbaya miziz chin Imeoza na watu wameshajua hayo toka mwez mach 2021 kilichobaki n kudondoka
SOMO LENYE MWANZO HALIKOSI MWISHO
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Na bado bila hata haya anasimama hadharani na kutangaza kuwa anadhulumiwa!!! Tulipata kuandika humuDOCUMENTS (IT) LOOKS FAKE...!
sitaki niwe kama Dr. Slaa kusema NAUDHIKA...
Kweli kuna kitu hakiko sawa kama kawaida ya Bashite.
Mfano; forms umeshaiweka Passport pictures. Swali ni je. Kwanini #Muhuri wa #Advocate uwe chini ya picha badala ya Passport za wahusika wote #kupigwa Mihuri juu yake. Inaelekea forms na signatures zilighushiwa na mihuri, Passports za wahusika zikatengenezwa & kubandikwa.
#Jpm alimbeba katika kughushi vyeti fake
#This_time_around_noooo..!
#Time_will_tell
#Njia_ya_Mwingi_fupi
#Michongo_hailipiView attachment 2148487
Pumbfukamuulize mungu yeye ndie anaegawa kwani umemuona makonda tu mtumishi wa umma mwenye mali mbona uhoji watumishi wengine wana mabilion ya pesa na majumba acha uchadema
Wanajisahau ya kuwa na wao kuna watu kwenye system wana hasira nao zingine kabisa nje ya upuuzi wa Makonda; rejea sakata la kumwagiwa tindikali kipindi cha JK raisi.GSM wametoka kuzika Mzee wao juzi tu, hata kuanua matanga bado washaanza mbwembwe.!
Hili suala inabidi umtafute Mgongolwa akujibu.Ni aina Gani ya Defamation Alex Mgongolwa anayozungumzia?
.
Je ni Defamation ya kudumu Kwa Maana ya libel-Defamation in permanent form
.
Au ni Defamation ya muda Kwa Maana ya slander-Defamation in temporary form?.
Sent using Jamii Forums mobile app
ahhaa, we jamaa!! Nimecheka Sana,. Jibu lako limekaa ki SATIRE Sana.Haha! Wow! So cool it's better now to be to yuyu..😂
Satire ndo nini..?ahhaa, we jamaa!! Nimecheka Sana,. Jibu lako limekaa ki SATIRE Sana.
Kilamba mwikoSatire ndo nini..?
Bladifakini.. 😂Kilamba mwiko
Ingia kwenye siasa. Kibajaji hata primary hajamaliza, lakini ana worth Billion shilings.Mimi pamoja na kusota shule( chuo)miaka mitano nnamiliki Subaru( Forester) halafu kenge tu aliyefoji vyeti nakusomea uvuvi uwani kwake amejaza magari ya kifahari😀😀😀!Asante sana Mungu kwa tarehe 17/3/2021
The use of humour, irony, exaggeration, or ridicule to expose and criticize people's stupidity or vices, particularly in the context of contemporary politics and other topical issues.Satire ndo nini..?