Makonda: Ghalib usinilazimishe kusema uozo wako, achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua

Hizi issue ni za mazimwi! We are not stupid! Wanajuana hawa na chain zao!

Issue ya 2013 wanaibua 2022! Mama Samia usiwachekee hawa, utavuna mabua! Hii issue ina 11 years inaibuka sasa! Why kipindi hiki?
Dsm haikuongozwa na zimwi, iliongozwa na mtu aliyetumia nafasi yake kitapeli na akatapeli wafanyabiashara
 
View attachment 2148028

Hata hivyo, Makonda alipotafutwa kwa simu leo, amejibu kwa ujumbe wa WhatsApp, akisema; “GSM usinilazimishe kusema uozo wako achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua.”


Source: Mwananchi

Takukuru mnsubiri nini ??? Tayari mtu ameweka wazi kuwa hatosema uozo wa mtu kwa sababu ya hongo ya Nyumba naomba wote wachunguzwe hii ni rushwa

Hamduni unatuangusha unasubiri nini kwenye hili?
 
RAI YANGU KWA MHE RAIS,

Hii ni kesi ya wahuni wa muda mrefu tena washirika wa kipindi cha nyuma.Viachie vyombo huru vifanye kazi huu ni kama mtego wa bui bui.
 

Makonda ni rubbish, he is no body, a nakwenda ku fall permanently, forever, kwa nini asiishi low profiled tu?

Karma is a bitch and it goes to https://jamii.app/JFUserGuide him, kwa nini haoni ana deal na watu wanaomzidi kila kitu?
 
Dsm haikuongozwa na zimwi, iliongozwa na mtu aliyetumia nafasi yake kitapeli na akatapeli wafanyabiashara
Kama upo ushahidi achukuliwe hatua! Ila uozo hautaishia hapo! Kila uvundo ufichuliwe tusafishe Taifa, tena ule uvondo wa kutisha! Hakuna kwenda na chorus, kila uvundo ufumuliwe twende sawa.
 
Movie [emoji440]ndo imeanza, ngoja nikanunue gunia la mahindi ya bisi kabisa [emoji41][emoji535]
 
Siipeendi Yanga na mfadhili wao. Ila kwa hili niko na GSM....
 
Kwahio kakaa na huo uozo anasubiri nini?Yeye arudishe alichopora kwa watu au aende mahakamani basi,aache kelele [emoji3][emoji3][emoji3]

Malipo ya Ujambazi wake na Kutupa watu kwenye viroba unamsubiri
 
Siipeendi Yanga na mfadhili wao. Ila kwa hili niko na GSM....
bosi yanga kaingiaje?😄 au ndo mwendelezo wa mabifu ya watani.


huyu GSM kadhamini sehemu nyingi ila yanga kwakuwa ndo kampa umaarufu imebidi umpoint yeye daah

sawa.
 
Mzee wa kura raha kuliko watu wote, ingawa ulinufaika na mfumo ovu lakini ponya nchi kwa kuanika ukweli kabla hujala ngumi ya chembe alafu washughulike na wewe ukiwa "ndani" na huna la kusema.
 
Kama upo ushahidi achukuliwe hatua! Ila uozo hautaishia hapo! Kila uvundo ufichuliwe tusafishe Taifa, tena ule uvondo wa kutisha! Hakuna kwenda na chorus, kila uvundo ufumuliwe twende sawa.
Huyu uvundo wake mkubwa, akakae segere matata kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…