Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Nadhani wakati ulikouwa unasubiriwa na wengi umekaribia tena haswa baada ya Mbowe kutoka jela. Makonda alikuwa anapigiwa hesabu naona wapigaji hesabu wamefikia kwenye jibu.
Makonda walikuwa wanamlia mingo wamtie adabu naona yeye kapalilila njia. Nadhani hii ya kiwanja asipotulia na kumaliza hili akipelekwa mahakamani wataibuka mpaka wakina Ndama mtoto wa ngombe aliowazulumu magari yao ya thamani. Kwa akili zake nadhani alitakiwa hata akimbie nchi hii mana watu wana hamu nae sana kumtia adabu ili akili yake ikae sawa. Lazima akumbushwe kwamba baba yake aliyekuwa anampa kiburi yuko akhera.
The guy was more powerful than Interior minister, IGP he use to extort people with his own assembled hitsquad. Alivamia clouds na wanausalama wakiwa na mabunduki. Huyu anasababisha wananchi tukumbuke Katiba mpya hawa chawa wenye nguvu wakatwe mikia.
Makonda walikuwa wanamlia mingo wamtie adabu naona yeye kapalilila njia. Nadhani hii ya kiwanja asipotulia na kumaliza hili akipelekwa mahakamani wataibuka mpaka wakina Ndama mtoto wa ngombe aliowazulumu magari yao ya thamani. Kwa akili zake nadhani alitakiwa hata akimbie nchi hii mana watu wana hamu nae sana kumtia adabu ili akili yake ikae sawa. Lazima akumbushwe kwamba baba yake aliyekuwa anampa kiburi yuko akhera.
The guy was more powerful than Interior minister, IGP he use to extort people with his own assembled hitsquad. Alivamia clouds na wanausalama wakiwa na mabunduki. Huyu anasababisha wananchi tukumbuke Katiba mpya hawa chawa wenye nguvu wakatwe mikia.