Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aambiwe, aliwahi kuwepo Lyatonga mrema,akawa waziri wa Mambo ya ndani, na naibu waziri mkuu, aliingiria mpaka Mambo ya ndani ya familia na u nyumba,Hizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika horuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa akikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu .
View attachment 2958126
Hapa akizungumzia Majengo yaliyopauka
View attachment 2958128
Arusha sio dararusha itanyooka wallah
Vile vile afundishwe Historia ya Dr kleruu, alikuwa mbabe balaa, aliishia kula shaba na kufia mtaroni as a dog!Hizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika horuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa akikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu .
View attachment 2958126
Hapa akizungumzia Majengo yaliyopauka
View attachment 2958128
hahaha ila mi chadema mwenzako nakumbuka 2010 anagombea docta slaa nilipigwa na boom kwenye mkutano wa slaa nikadumbukia shimo la choo nimetoka muke nikasema chadem dam dam huku nimeloa mavi oyaa chadema dam dam kwahy we mtoa mada mi ni mwanacham damdam kabla hujazaliwa mi ni chadema dam damNgoja tuone
Chadema lazima mnyooke kwa Makonda nimemsikiliza vizuri kwenye clip kuwa lazima wenye nyumba katikakati ya mji wazipake rangi zipendeze ziupambe mji wa Arusha kama hawataki wazibomoe….Hizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika horuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa akikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu .
View attachment 2958126
Hapa akizungumzia Majengo yaliyopauka
View attachment 2958128
Abomoe watu wagawane sambwanda lileHizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika horuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa akikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu .
Hapa akizungumzia Majengo yaliyopauka
View attachment 2958128
Sasa unalia nini ?Wewe mwanamke unashida kwa hilo bichwa lako,mambo ya makonda hayatakuleteen wabunge kwenye uchaguzi wa 2025,badala ya kutangaza sera za chama unaleta habari za kuokoteleza
so what ?hahaha ila mi chadema mwenzako nakumbuka 2010 anagombea docta slaa nilipigwa na boom kwenye mkutano wa slaa nikadumbukia shimo la choo nimetoka muke nikasema chadem dam dam huku nimeloa mavi oyaa chadema dam dam kwahy we mtoa mada mi ni mwanacham damdam kabla hujazaliwa mi ni chadema dam dam
Tunampaisha bashite bila sababuHizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika horuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa alikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu .
Hapa akizungumzia Majengo yaliyopauka
View attachment 2958158
Sisi ndio tumesababisha kachinjiwa Baharini kwenye uenezi na huku tutahakikisha anang'olewaTunampaisha bashite bila sababu
Kama nyumba yako upo mjini jitahidi uufanyie usafi ikiwepo kuipaka rangi vizuri ipendeze vizuri na kuvutia.hiyo ni kwa faida yako mwenyewe .maana hiyo ni mali yako.jiji la Arusha ni lazima lifanane na hadhi yake na kuwa kweli Geneva ya Afrika.Avunje nyumba ya Mtu Kwa kutopakwa rangi? Huyu mpuuzi analelewa lakini asicheze na wanaojitambua.
Mwamba Makonda ni Mkubwa Sana kuliko hata Tembo.Tunampaisha bashite bila sababu