Makonda: Hakuna nilichojifunza, nitawanyoosha. Wasiopaka rangi nyumba zao katikati ya Mji TUTABOMOA

Makonda: Hakuna nilichojifunza, nitawanyoosha. Wasiopaka rangi nyumba zao katikati ya Mji TUTABOMOA

Iwe kijani au njano
kitaalamu hizo si rangi za kupaka kuta za nyumba na zikatazamika itakuwa ni kituko. Rangi za kupaka nyumba zinajulikana ni zipi. Hizo kijani na njano ni brand colour ya ccm inayopakwa kwenye ofisi zao na ni nje tu, ukipaka ndani ni kero kisaikolojia hazifai. Kila mji unapaswa kupangiliwa rangi za kupakwa kwa mpangilio kama mombasa
 
Niliwahi kukuusia ndugu yangu Erythrocyte, haya masiasa yatakuumiza, achananayo, fanya mambo yako. Kuwa kama mimi mzee baba
 
Avunje nyumba ya Mtu Kwa kutopakwa rangi? Huyu mpuuzi analelewa lakini asicheze na wanaojitambua.
Kama unajitambua kwanini usipake rangi sasa nyumba ipo katikati ya mji? Halafu wakija wageni wakapiga picha wakarusha kwenye mitandao kelele zinaanza. Binafsi naona yupo sawa, kama hutaki nyumba inayovutia kajenge vijijini nje ya miji.
 
Wanamcheki tu kwenye site mirror mwenzake polepole keshajifunza kitu ndio maana katulia zake huko Cuba
 
Paulo Makonda juzi kasema hajajifunza jambo lolote- Swali hivi unatolewa Ukatibu UENEZI Taifa unapelekwa kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote hii ni kauli mbaya kwa mamlaka ya Uteuzi.

Wewe ulikuwa unaagiza waziri mkuu; mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wilaya, wakurugenzi, ma RPC unaenda kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote

Ziara zake zilijaa ubabe badala ya kujenga Chama uliongeza mpasuko

Ccm mliona mapema huyu angeua Chama
 
Kwa magu ilikuwaje....walimwingiza wamtumie lakini akawageuka....na huyu ni haki yake.Maana kiukweli maadui ni wao wenyewe chamani na si wapinzani
 
Hivi Mwigu aliposema tuhamie Burundi alimaanisha nini?
 
Bado anajioweza tu huyu Makonda. Hotuba yake ya jana ilijaa:- Mimi......mimi......mimi...
 
Paulo Makonda juzi kasema hajajifunza jambo lolote- Swali hivi unatolewa Ukatibu UENEZI Taifa unapelekwa kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote hii ni kauli mbaya kwa mamlaka ya Uteuzi
Wewe ulikuwa unaagiza waziri mkuu; mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wilaya, wakurugenzi, ma RPC unaenda kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote
Ziara zake zilijaa ubabe badala ya kujenga Chama uliongeza mpasuko
Ccm mliona mapema huyu angeua Chama
Jamaa hana akili ndio maana hawezi kujifunza
 
Paulo Makonda juzi kasema hajajifunza jambo lolote- Swali hivi unatolewa Ukatibu UENEZI Taifa unapelekwa kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote hii ni kauli mbaya kwa mamlaka ya Uteuzi
Wewe ulikuwa unaagiza waziri mkuu; mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wilaya, wakurugenzi, ma RPC unaenda kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote
Ziara zake zilijaa ubabe badala ya kujenga Chama uliongeza mpasuko
Ccm mliona mapema huyu angeua Chama
Mwambie mama amwachisheee... Halafu wewe umepata cheo gani?
Wivu tyu umekujaa
 
Paulo Makonda juzi kasema hajajifunza jambo lolote- Swali hivi unatolewa Ukatibu UENEZI Taifa unapelekwa kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote hii ni kauli mbaya kwa mamlaka ya Uteuzi.

Wewe ulikuwa unaagiza waziri mkuu; mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wilaya, wakurugenzi, ma RPC unaenda kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote

Ziara zake zilijaa ubabe badala ya kujenga Chama uliongeza mpasuko

Ccm mliona mapema huyu angeua Chama
Ujinga wako ni tatizo kwa jamii,wewe kwa upumbavu wako unafikiri alikuwa ana agiza kama makonda au kama mwenezi?!. Unajua hakuna kitu kibaya kama kuruhusu mtu autawale moyo wako,chuki ikikaa moyoni ina ua hekima na busara,mwondoe makonda moyoni mwako.utaiona furaha.
 
Paulo Makonda juzi kasema hajajifunza jambo lolote- Swali hivi unatolewa Ukatibu UENEZI Taifa unapelekwa kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote hii ni kauli mbaya kwa mamlaka ya Uteuzi.

Wewe ulikuwa unaagiza waziri mkuu; mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wilaya, wakurugenzi, ma RPC unaenda kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote

Ziara zake zilijaa ubabe badala ya kujenga Chama uliongeza mpasuko

Ccm mliona mapema huyu angeua Chama
😆😆😆😆😆😆
 
Ujinga wako ni tatizo kwa jamii,wewe kwa upumbavu wako unafikiri alikuwa ana agiza kama makonda au kama mwenezi?!. Unajua hakuna kitu kibaya kama kuruhusu mtu autawale moyo wako,chuki ikikaa moyoni ina ua hekima na busara,mwondoe makonda moyoni mwako.utaiona furaha.
Leo yuko wapi ?
 
Back
Top Bottom